Kwanini mwanamke ukimuache ndiyo anazidi kupendeza?

Kwanini mwanamke ukimuache ndiyo anazidi kupendeza?

Mimi namuona ex boyfriend kama ng'ombe pori[emoji23]. Yani yani huwa najiuliza ilikuwaje kuwaje ndio nikawa nimefall hapo. Yani najiulizaga sipati majibu. Na siwezi kurudiana nae hata kwa mtutu[emoji107][emoji107][emoji107]

Inaonekana hamkuachana kwa amani, alikuacha kipindi bado ulikuwa unapenda.
 
Inaonekana hamkuachana kwa amani, alikuacha kipindi bado ulikuwa unapenda.
Hamnaga kuachana kwa amani. Ingawa sio lazima mpigane ngumi ila kitendo cha kuachana amani ni haipo.

Iwe mimi ndio nimemuacha, yeye ameniacha, tumeachana kwa mutual agreement. Ili mradi tukishaachana tu nakuona ovyo ovyo tu.

Kama bado nampenda siezi kusema siezi kurudiana nae hata kwa mtutu.
 
Hamnaga kuachana kwa amani. Ingawa sio lazima mpigane ngumi ila kitendo cha kuachana amani ni haipo.

Iwe mimi ndio nimemuacha, yeye ameniacha, tumeachana kwa mutual agreement. Ili mradi tukishaachana tu nakuona ovyo ovyo tu.

Kama bado nampenda siezi kusema siezi kurudiana nae hata kwa mtutu.

Kwa mfano, mtu hamjawahi kugombana ila inatokea siku anakwambia ebanah nimejitahidi kuangalia mwenendo wa mahusiano yetu tangu tulipo anza mpaka halipo lakini naona tabia zetu haziendani, so sioni good future, kwahiyo naona bora kila mtu aendelee na ustaarabu labda atampata wanao endana tabia huko mbeleni. Hapo vipi hamjaachana kwa amani?
 
Kwa mfano, mtu hamjawahi kugombana ila inatokea siku anakwambia ebanah nimejitahidi kuangalia mwenendo wa mahusiano yetu tangu tulipo anza mpaka halipo lakini naona tabia zetu haziendani, so sioni good future, kwahiyo naona bora kila mtu aendelee na ustaarabu labda atampata wanao endana tabia huko mbeleni. Hapo vipi hamjaachana kwa amani?
Unadhani anaeambiwa hayo atakua na amani? Ndio maana nikakuambia hamna amani katika kuachana ingawa sio lazima mpigane ngumi.
 
Wanawake mnahusika kujibu kama nanyie mnatuonaga twavutia baada ya kutemwa yaani mnapotuacha tunazidiga kupendeza? au ni sisi tu vibeberu.
Tuelezee kidogo ulijisikaje, au unajisikiaje unapokutana na x- wako, ukiomba atakukubalia? na asipokukubalia utumie mbinu gani, ili ukate kiu!
Labda huko alipoenda ameiona ngondoigwa ,kafanya comparison kaona bora alipotoka.
 
Mwanamke anapoachwa na mwanaume wake huanza kujipamba na kujitengeneza ili apate soko jipya,soko likishapatikana basi kujipendezesha hupungua rejea kwa married women wanajiachia sana maana wanajua mume yupo tu.
Sio kweli kuwa Mwanamke akiolewa ansjiachia, Nina ndoa karibu Miaka 20_ Mke wangu kila siku namuona mrembo, anapendeza kila siku, Anavutia umbo hata mavazi pia, Wakati mwingine nsona wivuu.
 
Hapana sio kweli!Mbona wangu nilimwacha amekuwa "-enye ukondefu mwingi"mithili ya"-enye Unyafuzi"
 
Mimiks una akili sana ng'ombe pori ni mtamu kuliko ng'ombe wa kufugwa hana mijifuta mingi. Ivo cha wizi ni kitamu.nyati si nyara za serkali hauipati bure nyama yake.
 
Kama na yeye mwenyewe anajijua tabia zake mbovu basi atakuwa na amani tu
 
Wanawake mnahusika kujibu kama nanyie mnatuonaga twavutia baada ya kutemwa yaani mnapotuacha tunazidiga kupendeza? au ni sisi tu vibeberu.
Tuelezee kidogo ulijisikaje, au unajisikiaje unapokutana na x- wako, ukiomba atakukubalia? na asipokukubalia utumie mbinu gani, ili ukate kiu!
mwanamke gani?
 
Back
Top Bottom