Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,296
Kimenuka ehh...
Sasa wapi pakuchuna...
Kipi bora utapeliwe/uibiwe na dume mwenzio au uhonge kwa upendo huku roho inauma?
Acha tu mchunwe mmezidi utapeli wa mapenzi..
Apo ukute una vidada sita unavidanganya,afu vyote vinakuchuna.. Walah nakwambia lazima uwehuke...!!
Sasa wapi pakuchuna...
Kipi bora utapeliwe/uibiwe na dume mwenzio au uhonge kwa upendo huku roho inauma?
Acha tu mchunwe mmezidi utapeli wa mapenzi..
Apo ukute una vidada sita unavidanganya,afu vyote vinakuchuna.. Walah nakwambia lazima uwehuke...!!