Kwanini mwanamke akugeuze mgodi

Kwanini mwanamke akugeuze mgodi

Joined
Feb 11, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Hellooooooo.... wana jf jaman nataka kujua n kwanini baadhi ya galz wanawageuza maboyfrends au wanaume wao kuwa ndo mahali pakuchuma mahela?
 
kwasababu hapo tuuuuuu ndo mahali kuna mahelaaa..
Wee unazo niaanze kazi??
 
...Wapendeze ili waendelee kuchuna kwa raha zao.

Hellooooooo.... wana jf jaman nataka kujua n kwanini baadhi ya galz wanawageuza maboyfrends au wanaume wao kuwa ndo mahali pakuchuma mahela?
 
Kama ni boyfriend wa jina anachunwa fresh afu anapelekewa wa ukweli.full kuumizana tu.
 
Hellooooooo.... wana jf jaman nataka kujua n kwanini baadhi ya galz wanawageuza maboyfrends au wanaume wao kuwa ndo mahali pakuchuma mahela?
Kwani hela zenyewe mnazo basi au viji senti tuuuuuuu! mwenye hela wala hasemi anachunywa wale wenye vijisenti vyakubadilishia mbona wana kelelee....
 
siku hizi mmeshtuka hata nyie mnataka kuchuna majimama ndio tatizo
 
na ukiona wewe hutoi hela jiulize mara 2 kila mwanamke anapenda atunzwe ita vovote kuchuna kuhongwa hakuna mwanamke asiyependa kufanyiwa hayo aiseeeee mi huo ndo uchawi wa kizungu nauita we nitunze uone
hata mila na desturi mwanaume lazima umuhudumie mwanamke.
Ebooooooo kubali majukumu we kijana ohooo vingine utasaidiwa halafu ukadharaulika
 
Kumfadhiri mtu raha, kama maccm yanavyo fadhiri ndugu zetu khanga na ubwabwa
 
kawaida sana, watoto wana njaa kali, maisha yanawabana, kumsaidia mtu siyo lazima utembee naye bana, sipendi kabisa kumwona binti anatumiwa kwa ngono...mmh so bad!

on other hand kama huwezi kumhudumia binti basi pisha wanaoweza vinginevyo unampa majaribu.................

hakuna zawadi nzuri iliyotoka kwa Mungu na kupewa Mwanaume zaidi ya MWANAMKE!!!!!!!!!! KAMA UNABISHA ANDAMANA!
 
Mutusaidiage jamani kha na muache kulalamika,mmesahau mwanamke ni pambo la nyumba?sas lazima mwafanye wawake wake
 
mimi siongi mwanamke kama hataki aende zake mimi ni handsome boy
 
Back
Top Bottom