ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,574
- 56,787
Wasanii wengine watu wamewa unfollow kwenye kurasa zao na wanatukanwa na kubezwa kisa kuonesha wanaunga mkono juhudi za chama
Huyu mwamba yeye wala hatetwi untouchable hata akifiwa na mpendwa wake sidhani kama wanaharakati wataenda kushusha kejeli kama tulivyofanya kwa mjomba.
Sababu ni ipi kwamba kisa jamaa ni Mkimya au kisa ni mwana hiphop mwenzetu aliyetoboa ndani ya system?
Huyu mwamba yeye wala hatetwi untouchable hata akifiwa na mpendwa wake sidhani kama wanaharakati wataenda kushusha kejeli kama tulivyofanya kwa mjomba.
Sababu ni ipi kwamba kisa jamaa ni Mkimya au kisa ni mwana hiphop mwenzetu aliyetoboa ndani ya system?