The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,206
- 17,359
Naona kama vile kila siku zinavyosonga mbele kama vile kampeni za CCM zitakosa mvuto kabisa.
Hapa sababu kubwa ni Maza na Nchimbi kutokuwa waongeaji au wapiga kampeni wazuri.
Kwa kweli Maza anaoongea kama vile anahutubia mkutano wa ziara badala ya kuongea kama vile anapiga kampeni.
Na haya mambo ya matrector million 10, akina Kangi Lugola kukata viuno jukwaani, mwingine kudai Watawaloga wanaomkataa Maza inawafanya waonekane hawana sera wala jipya kwa miaka 5 ijayo.
Hapa sababu kubwa ni Maza na Nchimbi kutokuwa waongeaji au wapiga kampeni wazuri.
Kwa kweli Maza anaoongea kama vile anahutubia mkutano wa ziara badala ya kuongea kama vile anapiga kampeni.
Na haya mambo ya matrector million 10, akina Kangi Lugola kukata viuno jukwaani, mwingine kudai Watawaloga wanaomkataa Maza inawafanya waonekane hawana sera wala jipya kwa miaka 5 ijayo.