Kwanini mnajenga, kwenu", sehemu kubwa ni corruption!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Huwa sijawahi kuelewa huu mfumo wa karibia kulazimishana kwamba ni lazima sijui ujenge kwenu, ili nini? Unakwenda kupoteza fedha na rasilimali kuwekeza sehemu ambako hauwezi kuja kuishi tena maisha yako yote? Kwa nini usijenge unapoishi wewe na Familia yako?

Acha wanaoishi huko wajenge, kama wewe ni tajiri na una uwezo wa kujenga nyumba zaidi ya 2 hapo labda inaweza kuwa sawa kujenga huko kijijini kama nyumba ya likizo, lakini kama uwezo wako ni nyumba 1 ambapo wengi wetu ni hivyo kama wewe siyo corrupt, ni ujinga kwenda kujenga hiyo nyumba kijijini, jenga unapoishi wewe na Familia yako.
 
Ni utamaduni mkuu na kuogopa kusemwa vibaya na wananzengo

Kama unaweza jenga kwenu hata Kama hutaishi it bring some respect in our uneducated society
 
Huwa sijawahi kuelewa huu mfumo wa karibia kulazimishana kwamba ni lazima sijui ujenge kwenu, ili nini? Unakwenda kupoteza fedha na rasilimali kuwekeza....
Kuna jamaa yangu kajenga kijijini kwao upareni huko lakini hapa Mwanza mjini kila wakati anakopa pesa ya kodi haitoshi ns aytarudisha baadae. ni sehemu ya maisha kwa waTZ wengi
 
Kujenga kwenu ni vizuri kama una kipato kizuri pia ni vema kama unaandaa mazingira ya kurudisha Mpira kwa kipa (mambo yakikuendea kombo mjini waweza rudi kijijini) pia husaidia kuleta heshima na hata endapo ukifa watu wapate sehemu ya kuweka matanga/msiba wako!!
 
Kujenga kwenu ni vizuri kama una kipato kizuri pia ni vema kama unaandaa mazingira ya kurudisha Mpira kwa kipa (mambo yakikuendea kombo mjini waweza rudi kijijini) pia husaidia kuleta heshima na hata endapo ukifa watu wapate sehemu ya kuweka matanga/msiba wako!!
Lkn utafiti wangu binafsi unaonyesha kwamba familia nyingi zinaishia, yaani zinakufa miaka 50 ijayo kizazi kilichopo sasa hivi kikienda, watoto wengi hasa wanaozaliwa leo Mkoa mwingine hawatarudi huko kijijini kwa wazazi wao walikojenga, kwani wengi wameo/olewa na kuweka makizi mkoa mwingine.
 
Back
Top Bottom