Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

kibinadam,mko sahihi bt kiimani hapana!!lkn kiukweli hutakiwi kufanya b4 ndoa hayo mambo ya kutest ni kwamba wa2 wamehalalisha dhambi!ila lyf styl na mmomonyoko wa maadili ndo umetufikisha hapa!
..lkn pia,kwa upande wa imani kila kitu kinawezekana!km m2 alishafanya huko nyuma,na akaamua kubadirika inawezekana sana 2,na Mungu akakupa mume/mke aliyeamua kubadirisha lyf styl mkaoana bila kufanya sex,na ndoa yenu ikawa poa.
Kwa Yesu kila ki2 kinawezekana!kwa waaminio!
Kuanza upya c ujinga
 
ha ha ha..., labda jamaa ni muislam. akikuta ni bwawa anaoa mwingine. acha sis tu-shake before use.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…