GE2025 Kwanini Mkuu wa Mkoa Songwe ni Mzanzibari?

GE2025 Kwanini Mkuu wa Mkoa Songwe ni Mzanzibari?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,809
Reaction score
8,970
Najaribu kuunganisha doti kwa yaliyowatokea waandamanaji Tunduma na Mkuu wa Mkoa aliyepo huko! wenye D mbili mtanielewa!

Je, muungano wetu unaruhusu MZANZIBARI kuwa MKUU WA MKOA BARA?

Na je, what if aliwekwa huko kwa kazi maalum ambayo ndio imeanza kukamilika tokea 29 Oct?
 
Najaribu kuunganisha dota kwa yaliyowatokea waandamanaji Tunduma na Mkuu wa Mkoa aliyepo huko! wenye D mbili mtanielewa!

Je, muungano wetu unaruhusu MZANZIBARI kuwa MKUU WA MKOA BARA?

Na je, what if aliwekwa huko kwa kazi maalum ambayo ndio imeanza kukamilika tokea 29 Oct?
Kuna mkuu wa mkoa zanzibar ambae katola bara?
If not muungano ufanyiwe revision
 
Kuna mkuu wa mkoa zanzibar ambae katola bara?
If not muungano ufanyiwe revision
Kwa uelewa wangu hakuna..pia kwanini kuna Wabunge watano(5) wa Bunge la Jamhuri ya Muungano toka Baraza la Wawakilishi Znz ,wakati tayari kuna wabunge wa kuchaguliwa 50 toka Znz...

Na kwanini hakuna Wawakilishi toka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili na wao walinde Maslahi ya Mama Tanzania ndani ya Baraza?
 
Ina the near future TZ itakuwa Republic.
 
Najaribu kuunganisha doti kwa yaliyowatokea waandamanaji Tunduma na Mkuu wa Mkoa aliyepo huko! wenye D mbili mtanielewa!

Je, muungano wetu unaruhusu MZANZIBARI kuwa MKUU WA MKOA BARA?

Na je, what if aliwekwa huko kwa kazi maalum ambayo ndio imeanza kukamilika tokea 29 Oct?
Si haki, si sawa, si halali na ni kinyume kabisa mkoa wa Tanganyika uwe na mkuu wa mkoa asiye Mtanganyika vinginevyo na vijimikoa vya Unguja na Pemba Watanganyika wakapewe ukuu huko.
 
Narudia hakufai kuwa na Muungano,ni utapeli hakuna kitu Tanganyika inapata zaidi ya kudhulumiwa.
Ndio kwanza mna amka.

Sisi wazanzibari tuliiukata mungano tangu unaundwa wakati wakarume.
Raisi wa mwanzo wa Zanzibar alisema muunganio kama koti likikubana livue.
Raisi wapili alipinga na watatu alipinga
wazanzibari wanapinga mpaka leo kuhusu muungano
Masheik wetu walikaa jela miaka nane kwa kupinga muungano.
Sasa tu mekaa kimya.
Tunakuachieni nyie mtusaidie
 
Zamani wakati nasoma niliwaona waliofanikisha muungano watu wa maana sana kweli kweli. Hata hivyo, baada ya kuanza kufuatilia nikagundua kinachoitwa muungano si muungano bali ni kitu ambacho hakijapata jina lake. Na hii ilikuwa baada ya kugundua yafuatayo:-

1. Muungano gani unakuwa na ma - Rais wawili? Muungano wa kweli kabisa Rais ni mmoja tu kwasababu kinachoungana kinakuwa kimoja

2. Nilishangazwa kusikia eti kuna katiba mbili!? Hii ni maajabu!

3. Mbaya zaidi eti wao wanalo bunge lao na wabunge wao, halafu huku hamna bunge letu ila lililopo na wao wamo! Kama sio utahira ni nini?

4. Laikini pia, wao huku wamejaa kwenye kila ofisi, kwenye kila sekta lakini sisi kule hatupo? Kwanini?

5. Ukichaa mwingine, kumbe hadi syrabus zao ni tofauti na za kwetu.?Tuliungana nini?

6. Uhayawani mwingine, huku kwenye baraza la mawiziri wamo, wakuu wa mikoa wamo, ma-Das na ma- Ras wamo lakini wa huku hawavuki maji kwenda kuwa viongozi kule, kuna muungano kweli hapa?

Nadhani Mzee Warioba na timu yake walifanya kazi kubwa sana. Kama kweli sisi ni kitu kimoja, tuchukue yale maoni tuunde Taifa moja lenye Rais mmoja, katiba moja, baraza la mawaziri moja na jina libaki moja tu, Tanzania!!

Watakuja kuzaliwa watoto huko mbeleni watawatukana sana walioamua haya mambo na sisi tulioshindwa kuyasahihisha wakati yalishaonyesha dalili mbaya.

Wazee wetu walianzisha wazo la kuwa na muungano, ni kazi yetu kufanyia maboresho ya lazima ili kuleta maana ya kweli ya muungano. Kilichoungwa nusunusu ipo siku kitavunjika na huenda kikavunjikia pabaya kikaleta madhara
 
Ndio kwanza mna amka.

Sisi wazanzibari tuliiukata mungano tangu unaundwa wakati wakarume.
Raisi wa mwanzo wa Zanzibar alisema muunganio kama koti likikubana livue.
Raisi wapili alipinga na watatu alipinga
wazanzibari wanapinga mpaka leo kuhusu muungano
Masheik wetu walikaa jela miaka nane kwa kupinga muungano.
Sasa tu mekaa kimya.
Tunakuachieni nyie mtusaidie
Tawire, this time around sauti zitapazwa za kudai muungano uvunjwe. Hauna faida yoyote tangible kwa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom