Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

jeshi lipo kwa ajili ya ulinzi wa raia, yani kwa kifupia wanajeshi ni walinzi, sasa unataka mlinzi nae alindwe?
 
Sheria za kazi wa kuzirekibisha ni wao sio wananchi, kwani hao wa chini hawapandi, kazi za majeshi Duniani kote zinahusisha zaidi nidhamu na ni lazima, labda ungeongelea maslahi madogo hapo ningekuelewa. Kuomba rushwa, kubabikia watu kesi, uonevu kijumla zidi ya raia, hakuna uhusiano na sheria jeshi kukandamiza ngazi za chini.
 
Hisia za kichwani kwako. Kwa taarifa yako kila chombo hapo kina wajibika kivyake kutoa taarifa ngazi za juu. Huwezi kusema mfano mkuu wa magereza atoe taarifa ya WAFUNGWA kwa mkuu wa Majeshi.
Wewe lazma utakuwa polis maana hampenzi kuona kuwa mnazidiwa na hawa wenzenu wa mabakamabaka
 
Mkuu japo hii thread ni ya zaman lakin nimekuelewa sana. Kiuhalisia na kivitendo jeshi la polisi ndo lipo juu kimamlaka kuliko majeshi yote labda tu nguvu yake inapungua kwenye kitengo cha siraha maana halina siraha nzito kama JWTZ
 
Co kwamba hapewi heshimaa kupeawa heshimaa ni maamuzii ya mtu tambua yule ni mwanajeshi tena mkuu then Hana makuu hata kidogo mwenye chembe chembe zilizojaa hekima na busara kiufupi huyu mshua ikitokea dharura hulazimika kufanya hivyo ila kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo hujumuika nasi katika JOTO hasiraa na hasa kwa foleni ya dar inshort namkubali ksanaaaa kama aendelee kuwepo miaka mia
 
Nadhani Majeshi yote yaani JWTZ,POLISI,MAGEREZA NA JKT yako chini ya CCM.Amri yoyote toka CCM kwenda kwa Jeshi lolote lazima itekelezwe.Nipo tayari kurekebishwa kama ninachoongea ni uwongo.
 
Nadhani Majeshi yote yaani JWTZ,POLISI,MAGEREZA NA JKT yako chini ya CCM.Amri yoyote toka CCM kwenda kwa Jeshi lolote lazima itekelezwe.Nipo tayari kurekebishwa kama ninachoongea ni uwongo.
Unamaanisha kinana ana amri juu ya majeshi?
 
Unamaanisha kinana ana amri juu ya majeshi?
Nimesema CCM kama chama sio mtu.Kumbuka kuna Jamaa hapo juu alisema kuhusu wanajeshi ambao wana nguvu kuliko askari elfu wa CCM.Sasa nikataka kujua kama kuna Jeshi tanzania hii ambalo lina uwezo wa kukataa amri ya CCM.NIPO TAYARI KUREKEBISHWA.
 
Niswala kujiuliza

TUTOE kingora KWA MKUU WA MAJESHI

IGP ANAKIGNGORA

SIRRO NAE ATAKE KINGORA

MPINGA ATAKE KINGORA MWISHO MWITACHACHAA NAE SIATATAKA VINGORA
 
Zipo kombati za aina nyingi mkuu hii nikutokana na eneo mnalokwenda so kama ni jangwani mtavaa kombati zinazolandana na eneo huwa tunaziita MSADAMU
 
aya bhna ila vitu viko wazi..........
 

Mko sahihi wakuu, lakini kitu kimoja tu ni kuwa Mkuu was UWT anariport moja kwa moja kwa raisi na siyo kwa CDF kama mlivyoelezea, na ndio maana uWT wana watu wao jeshini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…