Kwanini mkurugenzi huyu anaangukia ktk chaguzi ndogo na maeneo korofi?

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
8,651
2,627
Mficha uchi hazai,wanajamvi naona niliweke wazi hili. MKURUGENZI WA WILAYA YA MERU BW.TRASIAS KAGENZI ALIWAHI KUWA MKURUGENZI WA TARIME NA AKASIMAMIA UCHAGUZI MDOGO KULE MWAKA 2008 baada ya kifo cha chacha wangwe.NAJIULIZA ,je kwa nini anapangiwa maeneo korofi exmple...tarime,meru,Kesho akihamishiwa.....JAMAA ANA UZOEFU NA CHAGUZI NDOGO?
 
Anakipaji cha kukabiliana na wakorofi tena wanaoonewa
 
Mficha uchi hazai,wanajamvi naona niliweke wazi hili. MKURUGENZI WA WILAYA YA MERU BW.TRASIAS KAGENZI ALIWAHI KUWA MKURUGENZI WA TARIME NA AKASIMAMIA UCHAGUZI MDOGO KULE MWAKA 2008 baada ya kifo cha chacha wangwe.NAJIULIZA ,je kwa nini anapangiwa maeneo korofi exmple...tarime,meru,Kesho akihamishiwa.....JAMAA ANA UZOEFU NA CHAGUZI NDOGO?

Iko Kenya hii.
 
Rekebisha hoja yako Tanzania hakuna Wilaya ya Meru,kama hujui uliza.
 
huyu jamaa magumash kweli,anajifanya kujua mambo wakati hata tanzania yenyewe haijui.eti wilaya ya meru.
 
Back
Top Bottom