Kwanini Misri(Egypt) hawashiriki mashindano ya CHAN?

Kwanini Misri(Egypt) hawashiriki mashindano ya CHAN?

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
2,194
Reaction score
4,802
Mashindano ya Chan ambayo ni mashindano yanayohusisha wachezaji wnaocheza ligi za ndani kwa nchi za Africa

Kwa nchi za Africa Misri ndio nchi yenye ligi yenye ubora kwa miaka mingi

Lakini cha ajabu hawashiriki mashindano haya, ambayo wangefanya vizuri sana kama wangeshiriki kutokana na ubora wa ligi yao

Je wameona mashindano haya sio ya kiwango chao na ni kupoteza muda kushindana?
 
Mashindano ya Chan ambayo ni mashindano yanayohusisha wachezaji wnaocheza ligi za ndani kwa nchi za Africa

Kwa nchi za Africa Misri ndio nchi yenye ligi yenye ubora kwa miaka mingi

Lakini cha ajabu hawashiriki mashindano haya, ambayo wangefanya vizuri sana kama wangeshiriki kutokana na ubora wa ligi yao

Je wameona mashindano haya sio ya kiwango chao na ni kupoteza muda kushindana?
We jamaa ni kiazi sana kwan unashiriki kwa kupenda
 
Waliona hayana tija kwao.
Kama Misiri ametwaa mataji 7 ya afcon kwa kuzifunga timu za magharibi zinazotumia wachezaji wa ulaya huku yeye misiri akitumia wachezaji wa ndani tu....Misiri ameona hatapa challenge yeyote.
 
Mashindano ya Chan ambayo ni mashindano yanayohusisha wachezaji wnaocheza ligi za ndani kwa nchi za Africa

Kwa nchi za Africa Misri ndio nchi yenye ligi yenye ubora kwa miaka mingi

Lakini cha ajabu hawashiriki mashindano haya, ambayo wangefanya vizuri sana kama wangeshiriki kutokana na ubora wa ligi yao

Je wameona mashindano haya sio ya kiwango chao na ni kupoteza muda kushindana?
sio hawashiriki hawaku qualify,haya mashindano sio unakuja tu kucheza ni lazima u qualify michezo ya awali
 
Uwezo mdogo.

Kama Uwezo mdogo mbona club zake za ndani ndio zinabeba makombe ya champions league kila mwaka?

Ni uongo kusema wachezaji wa al ahly na pyramids washindwe ku qualify haya mashindano, ila wachezaji wa yanga, gormahia, vipers na vilabu vidogo vingi africa waweze kuqualify.

Pia mbona ile AFCON ya wababe misri huwa ana qualify kila mwaka kwa wachezaji hao hao wa al ahly
 
Kama Uwezo mdogo mbona club zake za ndani ndio zinabeba makombe ya champions league kila mwaka?

Ni uongo kusema wachezaji wa al ahly na pyramids washindwe ku qualify haya mashindano, ila wachezaji wa yanga, gormahia, vipers na vilabu vidogo vingi africa waweze kuqualify.

Pia mbona ile AFCON ya wababe misri huwa ana qualify kila mwaka kwa wachezaji hao hao wa al ahly
kwenye chan misri ilipeleka timu ya vijana sio hao wachezaji wa ahly unaowajua wewe,huwa hawaihusudu chan kabisa
 
Egypt is not participating in the 2025 African Nations Championship (CHAN) because they initially withdrew due to scheduling conflicts with their domestic league. Although they considered rejoining after CAF increased the prize money, they ultimately did not enter the competition after qualification matches had already concluded.

Here's a more detailed explanation:
  • Initial Withdrawal:
    Egypt's football association decided not to enter the CHAN tournament due to concerns about the impact of the competition on their players' involvement in the Egyptian Premier League, which has a demanding schedule.

  • Reconsideration:
    After CAF raised the prize money for CHAN, Egypt's football association reportedly held an emergency meeting to discuss rejoining the tournament, potentially with their U23 team.


  • No Re-entry:
    Despite the possibility of rejoining, Egypt did not ultimately participate in the CHAN qualifiers or the main tournament. Qualification matches had already concluded by the time the decision to reconsider was made.

    Dunia ya leo ya information at your fingertips inabidi uwe na jibu la kila swali (unless hauna bundle)
 
Kama Uwezo mdogo mbona club zake za ndani ndio zinabeba makombe ya champions league kila mwaka?

Ni uongo kusema wachezaji wa al ahly na pyramids washindwe ku qualify haya mashindano, ila wachezaji wa yanga, gormahia, vipers na vilabu vidogo vingi africa waweze kuqualify.

Pia mbona ile AFCON ya wababe misri huwa ana qualify kila mwaka kwa wachezaji hao hao wa al ahly
Mzee hii ni Chan sio Afcon.

Unaweza kua na timu nzuri ya taifa ila wachezaji wako wote wanacheza nje ya taifa lako.
Vilabu vyako vinasajili wachezaji toka nje pia, si ajabu wa ndani sio wakali kivile.

Wewe unataka kutengeneza conspiracy theories za kiwaki tu. Unaamini Egypt hawezi shindwa as if ni miungu ya soka.
 
Mzee hii ni Chan sio Afcon.

Unaweza kua na timu nzuri ya taifa ila wachezaji wako wote wanacheza nje ya taifa lako.
Vilabu vyako vinasajili wachezaji toka nje pia, si ajabu wa ndani sio wakali kivile.

Wewe unataka kutengeneza conspiracy theories za kiwaki tu. Unaamini Egypt hawezi shindwa as if ni miungu ya soka.

Al ahly na pyramids zimejaa wamisri. Wageni wachache sana.

First eleven ya al ahly ina wamisri 9 na wageni wawili tu.

Timu nzima ya al ahly ukijumlisha mpaka wanaokaa benchi kuna wageni wanne tu

First eleven ya pyramids ina wamisri 8 pia.

Hapo bado sijataja wa bench pia
Screenshot_20250819-214353.png
 
Al ahly na pyramids zimejaa wamisri. Wageni wachache sana.

First eleven ya al ahly ina wamisri 9 na wageni wawili tu.

Timu nzima ya al ahly ukijumlisha mpaka wanaokaa benchi kuna wageni wanne tu

First eleven ya pyramids ina wamisri 8 pia.

Hapo bado sijataja wa bench piaView attachment 3446544
Ndio hawajafuzu sasa.

Japo sijataka kufatilia hizo first eleven zao ambazo bila shaka umedanganya.
 
Back
Top Bottom