Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Miradi kama ule wa uwanja wa ndege wa Songwe, barabara ya Tunduma Sumbawanga, hakika haina majibu.
Kama ni fedha zilikwisha tolewa lakini sijui zimeelekezwa wapi?
CCM hakika ina chuki sana na mkoa wetu huu.
Ndio maana wananchi wanakuwa na hasira na viongozi wa juu kiasi cha kuwazibia njia na kuwapiga kwa mawe.
Kama ni fedha zilikwisha tolewa lakini sijui zimeelekezwa wapi?
CCM hakika ina chuki sana na mkoa wetu huu.
Ndio maana wananchi wanakuwa na hasira na viongozi wa juu kiasi cha kuwazibia njia na kuwapiga kwa mawe.