Kwanini miradi mingi inaelekezwa Dodoma na Chato?

Ni kwasababu Dodoma ni jiji kuu.
Kuhusu Chato hata sijui,ila ningependa hata jiji kuu liwe Chato
 
Kuna miradi mikubwa sana iko kwenye process nationwide, siyo vibaya naye kuendeleza alipotoka ila hili la uwanja mkubwa wa mpira ninalipinga, bora apeleke viwanda, au ajenge hata chuo kikuu kikubwa mji uongezeke watu, shughuli za kiuchumi ziongezeka
Kwanini iwe Chato?kwanini isiwe bagamoyo ambapo tayar Kuna vivutio vingi
 
Barabara ya Namanga Arusha iko Chato?
Ule mradi mkubwa kabisa wa Maji kule Arusha nao uko Chato?
Upanuzi wa bandari Mtwara, Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Mtwara vyote viko Chato
Uwanja wa mpira Kwa Majaliwa kule,
Barabara ya Katavi Tabora
SGR
Stiglers
Ubungo
Mfugale
Salender bridge

Muwe mnafichaga na Ujinga wenu wakati mwingine
By the way, Chato siyo Burundi wala Congo, so hata kila kitu kikiwekwa huko bado ni Tanzania
Pumbavu kabisa
Hiyo miradi uliyoitaja haiko sehemu moja iko miji mbalimbali, hoja hapa kwanini miradi mingi inaelekezwa sehemu moja tu ya Chato?
 
Hiyo miradi mikubwa ndio ipi, acheni unafiki na roho mbaya. Yaani saivi hata ikijengwa hospitali ya wilaya Chato ni kosa wakati hapo hapo serikali inajenga zaidi ya hospitali 60 za wilaya nchi nzima. Basi bajeti nzima itapelekwa Moshi mfurahie mmejaa ukabila na ubaguzi.

Pandisha jazba upendavyo, lakini suala la kujipendelea hilo halina ubishi. Taja moshi na au wapi ili kuficha ukweli lakini habari ndio hiyo.
 
Barabara ya Namanga Arusha iko Chato?
Ule mradi mkubwa kabisa wa Maji kule Arusha nao uko Chato?
Upanuzi wa bandari Mtwara, Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Mtwara vyote viko Chato
Uwanja wa mpira Kwa Majaliwa kule,
Barabara ya Katavi Tabora
SGR
Stiglers
Ubungo
Mfugale
Salender bridge

Muwe mnafichaga na Ujinga wenu wakati mwingine
By the way, Chato siyo Burundi wala Congo, so hata kila kitu kikiwekwa huko bado ni Tanzania
Pumbavu kabisa

Hiyo miradi miwili uliyoitaja huko Arusha ni ya wakati wa JK. Acha upotoshaji.
 
Kuna ujenzi wa Barabara toka Njia panda ipinda hadi Matema huko kyela, sijui nako ni chato. Mwaka juzi nimepita Barabara ya Babati kondoa Hadi Dodoma kuna ujenzi unaendelea sijui nako ni chato.

Mwaka juzi ndio umeona hiyo miradi wala huna uhakika kama imekamilika, lakini uwanja wa ndege wa Chato umeanza mwaka huu huu na tayari umekamilika! Ni hivi, fanyeni utetezi wowote Mpendao maana ni haki yenu, lakini upendeleo uko wazi.
 
Wakati Mzee Mwinyi anajenga Uwanja wa Ali Hasaan Mwinyi pale Tabora kila mtu alikuwa hamuelewi. Lakini mpaka leo upo kwani nani ameteseka?
Ajenge tu hata chato tena mkubwa wa kuingiza watu 100,000 kabisa.
Kwani mpira mnacheza nyie tu bana. Nani ajuaye kama kesho hakutakuwa na timu ya ligi kuu toka Chato?
Mkuu unatumia nguvu sana piga fanta upooze koo.
 
Barabara ya Namanga Arusha iko Chato?
Ule mradi mkubwa kabisa wa Maji kule Arusha nao uko Chato?
Upanuzi wa bandari Mtwara, Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Mtwara vyote viko Chato
Uwanja wa mpira Kwa Majaliwa kule,
Barabara ya Katavi Tabora
SGR
Stiglers
Ubungo
Mfugale
Salender bridge

Muwe mnafichaga na Ujinga wenu wakati mwingine
By the way, Chato siyo Burundi wala Congo, so hata kila kitu kikiwekwa huko bado ni Tanzania
Pumbavu kabisa
Yote hii kwa pamoja inalinganishwa na miradi ya kawilaya kamoja ka Chattle. Wilaya vs Nchi... pathetic!
 
Zile awamu ambazo hamkuwa yatima mmefanyiwa kipi sasa na hao wa kwenu. Au wa kwenu walisahau kiwaUda hausubiri. Wamuulize Basil Mramba alivyojua kuutumia muda wake kwa wa kwao. Rombo yote asahivi fulu Lami. Kumekuwa Mji.
sisi wa singida ndio tumesahaulika kabisa. Ni kama lesotho ndani ya SA. hata wabunge wetu wanashambuliwa na watu wasiojulikana. Waliokuwa wateuliwa wote wamefyekelewa mbali. Singida ni yatima mno awamu hii kuliko sehemu yeyote ya nchi hii.
 
Ile kuanzia usa kupitia Njiro, uwanja wa ndege Arusha kwenda kuunganisha hadi namanga ilikuwepo wapi wewe
Barabara ya Namanga ipi au unakaririshwa. Hii barabara iliisha hata kabla Magufuli hajaota kuwa Rais, Mradi wa maji ulianza muda mrefu usingesimama kisa Magufuli kaingia
 
chato city ki asilia ni pazuri mno,kuna ardhi safi yenye rutuba, kuna madini ya aina nyingi sana,watu wa kule ni wasomi na wachapakazi sana hata kabla ya miradi kujengwa walikuwa tayari wameshajiendeleza haswa ki elimu na wana roho nzuri sana za huruma na upendo an ni wasema kweli
 
Back
Top Bottom