Pole kwa yote but usisahau kujipa moyo kwa hili; MUNGU yu bize sana ... kwa sasa pengine anashughulika kwanza na wagonjwa, watoto wa mitaani, wasio na ajira, watumwa, yatima, masikini na amani! Vilio vya Somalia, Iraq na Syria pengine vimemfanya aamue kuanzia huko kwanza kuliko kwako uliye na afya njema, elimu, amani, maendeleo, ndugu, jamaa na marafiki ... huoni kama amekuwa akikupendelea siku zote?!
Kikubwa, endelea kutulia kwenye foleni (usiyumbe-yumbe), usijitegemee mwenyewe wala mwanadamu na zidi kumpigia kelele nyingi za maombi coz 'mtoto anayelia sana, huwa ndio huanza kupewa nyonyo'