Nani anataka kupanda gari zee la zamani?
Umesahau hii kitu - "Old Is Gold"
Nani anataka kupanda gari zee la zamani?
View attachment 155359
Nimejaribu kupitia picha nyingi za mikutano ya CCM sikufanikiwa kuwaona hao wazee tupu anaowasema mleta mada, CCM inapendwa na watu wa rika zote. Vijana unaowataja kuwa hawahudhurii mikutano ya CCM ni wale wahuni wasiojitambua. ambao huku hawana nafasi.