Kwanini mikutano ya CCM mingi inakosa vijana

Kwanini mikutano ya CCM mingi inakosa vijana

mmaranguoriginal.

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,060
Reaction score
460
WAUNGWANA, katika ziara za kichama za chama cha mapinduzi mikutano mingi tunayofanya tumekuwa tunapata changamoto kubwa ya kukosekana kwa vijana kwenye mikutano yetu kwa mfano mdogo kuna ziara moja ya ccm tulikwenda edaru,tuliambulia wazee tu kwa asilimia kubwa nikasema labda kijijini,wakati mwingine tukawa na mkutano arumeru mashariki na magharibi kote huko tuliambulia WAZEE kwa asilimia kubwa hapa nikastuka nikasema nani ametuloga ccm mbona chadema mikutano yao mingi asilimi tisini ni vijana na wanajaa sana,je hawa vijana wanapewa nini huko kwenye mikutano ya cdm kama ni t-shirt,kanga na kofia tunawapa kama cdm wanavyotoa tena sisi ccm tunawapa pesa upande wa cdm wanachukua sadaka kwao.tatizo ni nini vijana ccm imewakosea nini hamuhudhurii mikutano ya ccm.niambieni
 
CCM haikubaliki ndo mana kule zanzibar siku ya mkutano wa ccm huwalazimisha wafanyakazi wa serikali na wanafunzi wa shule waende kuwaskiliza
 
Fikiria mwenyewe utapata jibu tu ccm wanagawa pesa na kuhonga t-shirt bure na vijana hakuna zaid ni wale wazee wasiojiweze hawana nguo za kuvaa ndo wanasubir mgao
Ila chadema kwenye mkuta utatoa sadaka na pia utanunua t- shirt kwa sh: 10000 hd 15000 na vijana kwa wazee wanajaa,
Ukiona hvy ccm imechokwa ndugu tunashuhudia kwenye kampen ccm wanatumia pesa ile mbaya zaid ya mamilion ya pesa,
Ccm kwisha, hata hao wazee wananunuliwa na kusombwa kwenye malor huku wakitumia jwtz na ffu.
 
ni hapo moshi tu pengine na marangu kidogo ila tz nzima vijana wanaipenda sana ccm
 
chagadema imeungana na maliberali cuf inamana na wenyewe ni wale wale

Maliberali ni ccm maana ndo wanakopa pesa huko, kamuulize baba wa rz wapo vigogo wng tu wanapakuliwa ili wapate misaada na wafadhil,
Mkuu wa kaya ndo anajua hayo yote!!
 
Nenda kibanda maiti wana majibu mazurii muda si mrefu kibanda jeneza cha ccm kimeandaliwa.
 
View attachment 155359
Nimejaribu kupitia picha nyingi za mikutano ya CCM sikufanikiwa kuwaona hao wazee tupu anaowasema mleta mada, CCM inapendwa na watu wa rika zote. Vijana unaowataja kuwa hawahudhurii mikutano ya CCM ni wale wahuni wasiojitambua. ambao huku hawana nafasi.
 
WAUNGWANA, katika ziara za kichama za chama cha mapinduzi mikutano mingi tunayofanya tumekuwa tunapata changamoto kubwa ya kukosekana kwa vijana kwenye mikutano yetu kwa mfano mdogo kuna ziara moja ya ccm tulikwenda edaru,tuliambulia wazee tu kwa asilimia kubwa nikasema labda kijijini,wakati mwingine tukawa na mkutano arumeru mashariki na magharibi kote huko tuliambulia WAZEE kwa asilimia kubwa hapa nikastuka nikasema nani ametuloga ccm mbona chadema mikutano yao mingi asilimi tisini ni vijana na wanajaa sana,je hawa vijana wanapewa nini huko kwenye mikutano ya cdm kama ni t-shirt,kanga na kofia tunawapa kama cdm wanavyotoa tena sisi ccm tunawapa pesa upande wa cdm wanachukua sadaka kwao.tatizo ni nini vijana ccm imewakosea nini hamuhudhurii mikutano ya ccm.niambieni

we umesema mkutano mmoja,mingine bado,fanya tafiti za kutosha ndugu,
 
Vijana huenda hawaendi kwenye mikutano ila kura wana pigia CCM.

Kwa CCM hiyo inatosha sana.
 
Back
Top Bottom