Kwanini mikoa ya kusini iko nyuma kimaendeleo?

Kwanini mikoa ya kusini iko nyuma kimaendeleo?

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
5,143
Reaction score
2,547
Nimekuwa nikijiuliza kwanini mikoa ya kusini bado iko nyuma kimaendeleo hasa upande wa elimu.

Je ni serikali tu imewakwamisha au hata juhudi zao binafsi ni ndogo?
 
Unaposema wako nyuma kielimu una maanisha nini, ni ufaulu, idadi ya shule au uelewa wa hao watu? Pia ume compare na mikoa ipi?
 
Unaposema wako nyuma kielimu una maanisha nini, ni ufaulu, idadi ya shule au uelewa wa hao watu? Pia ume compare na mikoa ipi?

Ufaulu ni mdogo, na kama ufaulu ni mdogo ina maana hata uelewa ni ndogo.
 
Sawa pamoja na hayo lakini mtazamo wangu ni kuwa mazingira ya vijiji vingi hayawavutii walimu kuishi na kufanya kazi, hivyo kufanya wanafunzi kutofaulu vizuri, lakini pia uchache wa shule ambalo lina associate na serikali kwa ujumla.
Ufaulu ni mdogo, na kama ufaulu ni mdogo ina maana hata uelewa ni ndogo.
 
Sawa pamoja na hayo lakini mtazamo wangu ni kuwa mazingira ya vijiji vingi hayawavutii walimu kuishi na kufanya kazi, hivyo kufanya wanafunzi kutofaulu vizuri, lakini pia uchache wa shule ambalo lina associate na serikali kwa ujumla.

wao wenyewe uTendaji kazi wao ukoje? Je,watu wa kusini ni CHAPAKAZI?
 
Sawa pamoja na hayo lakini mtazamo wangu ni kuwa mazingira ya vijiji vingi hayawavutii walimu kuishi na kufanya kazi, hivyo kufanya wanafunzi kutofaulu vizuri, lakini pia uchache wa shule ambalo lina associate na serikali kwa ujumla.
Sasa kama unaelewa hivyo, unashindwa nini kuelewa maelezo ya KYENJU?
 
Tuangalie kidogo suala la uchache walimu, wanakataa kwenda kule kwasababu ya mazingira tu au kuna sababu nyingine, maana kumekuwa kukiripotiwa vitendo ambavyo haviwavutii walimu, mara mwalimu akutwa nje ya nyumba yu uchi na mambo mengine kama hayo.
 
haiko hivyo uturuki mkuu
How about Somalia, Afghanistan, Palestine, etc ? Kihistoria, Uturuki lilikuwa taifa la Kikristo na lilikuwa na nguvu sana kiuchumi, kisiasa na kijeshi. Limeporomoka baada ya kuuacha Ukristo. Ni laana inawatafuna.
 
How about Somalia, Afghanistan, Palestine, etc ? Kihistoria, Uturuki lilikuwa taifa la Kikristo na lilikuwa na nguvu sana kiuchumi, kisiasa na kijeshi. Limeporomoka baada ya kuuacha Ukristo. Ni laana inawatafuna.

Acha udini jamaa! SINGIDA unakotoka UMASKINI wao UMESABABISHWA NA UISLAM/WAISLAM?
 
How about Somalia, Afghanistan, Palestine, etc ? Kihistoria, Uturuki lilikuwa taifa la Kikristo na lilikuwa na nguvu sana kiuchumi, kisiasa na kijeshi. Limeporomoka baada ya kuuacha Ukristo. Ni laana inawatafuna.
Mkuu hali ya sehemu moja kuwa na maendeleo na sehemu nyingine kukosa huwa inachangiwa na vitu vingi sana kama kwenu Singida asilimia kubwa ya Wasichana na Wanawake zenu ni wauza Baa yaani Ma Barmaid na Madada poa hivi hii nayo inachangiwa na nini? Yaani usiangalie kwa mwenzio kabla kwako haujaangalia maana dada zako wamejaa Dodoma,Arusha, Manyara na Dar ndo usiseme kazi kuuza Miili tu je hiyo nayo siyo laana ya jamaa zako maana haibadiriki toka enzi hizo!
 
acheni ujinga wenu wa kuingiza udini kila mahali comment as a great thinker, cheap judgment wont take u anywhere you poor mortals!
 
Mkuu hali ya sehemu moja kuwa na maendeleo na sehemu nyingine kukosa huwa inachangiwa na vitu vingi sana kama kwenu Singida asilimia kubwa ya Wasichana na Wanawake zenu ni wauza Baa yaani Ma Barmaid na Madada poa hivi hii nayo inachangiwa na nini? Yaani usiangalie kwa mwenzio kabla kwako haujaangalia maana dada zako wamejaa Dodoma,Arusha, Manyara na Dar ndo usiseme kazi kuuza Miili tu je hiyo nayo siyo laana ya jamaa zako maana haibadiriki toka enzi hizo!

Alijisahau katika hilo.hata yeye kabla hajawa hapo alipo alikuwa h boi wa kak yake! UMUZ LIM ndo ULIMSABABISHIA?
 
yes, hali iko hivyo. Sio uturuki tu hata somalia, afghanistan, palestine, etc.
umefanya utafiti au unaropoka tu kwa kuwa una uhuru wa kutoa maoni?unailinganisha je kiuchumi nchi kama uturuki na somalia? Au emotions!
 
How about Somalia, Afghanistan, Palestine, etc ? Kihistoria, Uturuki lilikuwa taifa la Kikristo na lilikuwa na nguvu sana kiuchumi, kisiasa na kijeshi. Limeporomoka baada ya kuuacha Ukristo. Ni laana inawatafuna.

Pumba.com
 
Back
Top Bottom