Kwanini mikoa ya kusini iko nyuma kimaendeleo?

Kwanini mikoa ya kusini iko nyuma kimaendeleo?

Toeni analysis ya kueleweka mtu apate elimu jamani ndo maana ya JF kuwa jukwaa la maarifa! Kimsingi swala hili ni pana sana na lina taka mtu atizame mbele zaidi kidogo ( one more extra mile) Ukiangalia dunia kwa ujumla wake na kwa mgawanyo wa kaskazini na kusini, utaona nchi zote za kaskazini zinamaendeleo makubwa zaidi ya zile za kusini kwa wastani. Mfano America ya kaskazini imeendelea zaidi kuliko ya kusini, hali kadhalika Africa, na ndiyo maana Rais Nyerere marehemu alpokuwa mwenyekiti wa South south commission kimsingi alikuwa Mwenekiti wa tume ya Nchi za kusini duniani ambazo kimsingi ni maskini. Umaskini wa kusini si katika level ya dunia pekee bali pia katika level ya nchi moja moja eg. Kusini ya Sudan, kusini ya Tanzania nk. Ili ujue ni kwanini kuna hali hii jipatie nakala halisi ya "The challenge of the South" au Changamoto ya Kusini kilichoandikwa na Hayati baba wa Taifa Mwl Nyerere!
 
kufanya kazi kwa bidii ndiyo dawa ya umasikini. Hamna dini inayohubiri umasikini!! kwanza ukiwa masikini fungu la kumi litapungua na uenezaji wa dini utafifia
 
Nimekuwa nikijiuliza kwanini mikoa ya kusini bado iko nyuma kimaendeleo hasa upande wa elimu.

Je ni serikali tu imewakwamisha au hata juhudi zao binafsi ni ndogo?
Wahenga husema "No research no right to speak" labda ungetaja hiyo mikoa ya kusini inawezekani ikawa siyo tunayojua. Kwa uelewa wangu mikoa ya kusini ni Lindi, Mtwara nk.
Kama ni hivyo unahitaji kueleweshwa kuna mikoa kama Tabora, Singida, Dodoma, Shinyanga, Pwani na Kigoma ni hatari tupo. Kwa mkoa wa Kigoma kwa mwaka 2011kwa shule za serikali za Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji wanafunzi waliokuwa na sifa za kuendelea na kidato cha tano walikuwa hawazidi ishirini. Ushahidi angalia matokeo ya Mwanachi sec, Katubuka Sec, mlole nk.
Kwa maana nyingine katika Manispaa hakuna haja ya kuwa na shule zaidi ya moja ya kidato cha sita.
 
Kwa sababu watu wanaoishi maeneo hayo hawako aggressive kuyaendeleza.
 
Mkuu hali ya sehemu moja kuwa na maendeleo na sehemu nyingine kukosa huwa inachangiwa na vitu vingi sana kama kwenu Singida asilimia kubwa ya Wasichana na Wanawake zenu ni wauza Baa yaani Ma Barmaid na Madada poa hivi hii nayo inachangiwa na nini? Yaani usiangalie kwa mwenzio kabla kwako haujaangalia maana dada zako wamejaa Dodoma,Arusha, Manyara na Dar ndo usiseme kazi kuuza Miili tu je hiyo nayo siyo laana ya jamaa zako maana haibadiriki toka enzi hizo!
Hemed Maronda haulijui vizuri kabila la Wanyisanzu. :shut-mouth:
 
mnyisanzu nakwambia wewe ili wengine pia wajifunze kutoka kwako,. hivi hizi kauli za watu juu aya imani huwa mtaoa wapi maana kila mtu anatafasiri kivyate kutokana uwezo wake na maranyingine mazingira na misamiati ya lugha husika hivyo uwe muisla au kristo huna ushahidi wakutoa wa dini zaidi ya kufuata alichokurithisha baba na mamoko kwavile tu umezaliwa ktk hiyo familia ambayo nayo ilimezeshwa either na sheikh au mtumishi(pastor) na hakuna mtu mabae alikufa kisha akarudi na ushahidi kuwa dini fulani ndio sahihi zaidi kuliko nyingine, hapa mwache hadithi zenu ooh alifufua watu, haya wako wapi? hao waliofufuka na kwani hawakuwa nakizazi kujue ukoo wao watupe ushahidi hivyo basi ni vema kuamini unachoona sahihi kwako nausilazimishe mwingine kuwa na wewe hati ya huu mtihani au fumbo hii tutaona huko ambako vitabu vinsema na kama wewe aou mwenzio yeyote anadai anajua muulize alijuaje kama hajafundishwa kupitia vitabu km msahafu, na bible tuache kuwa na picture kubwa kichwani km wanafunzi wanakaribia kugraduate huona watakuwa na mavyeo na kazi zitapatika kwakuwa wao niwasomi, sasa nyienyie huwa mkifanya jambo mnaanza ooh shetani alinipitia je unamjua shetani na apointment uliweka saa ngapi yani mtu hisia zako tu zinakushinda leo unajitia kujua sana dini, maana kwamimi naamini kuwa hakuana asiyena dina kama mtu kusema hana baba sikweli lazimka babako yupo mimba sio chumvi ukanunua tu dukani uweke tumboni, Kila mtu ana dini yake kwani maana halisi kilugha Dini nimfumo kamili wa maisha je nani hanamfumo wamaisha kwahiyo hiyo ndio itakuwa dini yako, maana dini inaelekeza ufanyenini na uachekipi na tena kama ilivyo katiba au sheria na kukupa vitisho ukifanya kibaya basi utaadhibiwa kwahiyo tuache uanafiki wakujifanya tunajua sana na kuwa niwasafi sana kwauwa tu ni unaamini dini fulani kumbe sichochote ni kuogopa adhabu hapo siku ya mwisho, nakwakuwa unaamini kuna siku ya mwisho nahautakuwa njia ya kupata nafasi ya kurekebisha masoka yako ndio unaona heri uoneshe uoga wako sio kama wewe kweli unaimani saaan, tuache mbwembwe, nwasili kwa leo.
 
mnyisanzu nakwambia wewe ili wengine pia wajifunze kutoka kwako,. hivi hizi kauli za watu juu aya imani huwa mtaoa wapi maana kila mtu anatafasiri kivyate kutokana uwezo wake na maranyingine mazingira na misamiati ya lugha husika hivyo uwe muisla au kristo huna ushahidi wakutoa wa dini zaidi ya kufuata alichokurithisha baba na mamoko kwavile tu umezaliwa ktk hiyo familia ambayo nayo ilimezeshwa either na sheikh au mtumishi(pastor) na hakuna mtu mabae alikufa kisha akarudi na ushahidi kuwa dini fulani ndio sahihi zaidi kuliko nyingine, hapa mwache hadithi zenu ooh alifufua watu, haya wako wapi? hao waliofufuka na kwani hawakuwa nakizazi kujue ukoo wao watupe ushahidi hivyo basi ni vema kuamini unachoona sahihi kwako nausilazimishe mwingine kuwa na wewe hati ya huu mtihani au fumbo hii tutaona huko ambako vitabu vinsema na kama wewe aou mwenzio yeyote anadai anajua muulize alijuaje kama hajafundishwa kupitia vitabu km msahafu, na bible tuache kuwa na picture kubwa kichwani km wanafunzi wanakaribia kugraduate huona watakuwa na mavyeo na kazi zitapatika kwakuwa wao niwasomi, sasa nyienyie huwa mkifanya jambo mnaanza ooh shetani alinipitia je unamjua shetani na apointment uliweka saa ngapi yani mtu hisia zako tu zinakushinda leo unajitia kujua sana dini, maana kwamimi naamini kuwa hakuana asiyena dina kama mtu kusema hana baba sikweli lazimka babako yupo mimba sio chumvi ukanunua tu dukani uweke tumboni, Kila mtu ana dini yake kwani maana halisi kilugha Dini nimfumo kamili wa maisha je nani hanamfumo wamaisha kwahiyo hiyo ndio itakuwa dini yako, maana dini inaelekeza ufanyenini na uachekipi na tena kama ilivyo katiba au sheria na kukupa vitisho ukifanya kibaya basi utaadhibiwa kwahiyo tuache uanafiki wakujifanya tunajua sana na kuwa niwasafi sana kwauwa tu ni unaamini dini fulani kumbe sichochote ni kuogopa adhabu hapo siku ya mwisho, nakwakuwa unaamini kuna siku ya mwisho nahautakuwa njia ya kupata nafasi ya kurekebisha masoka yako ndio unaona heri uoneshe uoga wako sio kama wewe kweli unaimani saaan, tuache mbwembwe, nwasili kwa leo.
Jifunze kwanza kuandika maneno ya Kiswahili kwa ufasaha ndipo uje kunipa ushauri wako hapa. Pia jifunze kupanga paragraph zako vizuri.
 
Nimekuwa nikijiuliza kwanini mikoa ya kusini bado iko nyuma kimaendeleo hasa upande wa elimu.

Je ni serikali tu imewakwamisha au hata juhudi zao binafsi ni ndogo?

Jaribu kujenga hoja yako vizuri. Nyuma kwa takwimu zipi..fafanua..
Ukiandaa hoja hiyo vizuri,andaa na kuhusu mkoa wa Kigoma pia..
 
Back
Top Bottom