Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,857
- 1,538
Salaam JF,
Nimejaribu kufanya uchunguzi na kugundua kwamba kunautofauti katika shughuli za mazishi katika nchi za kiafrika hasa ziliso kusini na nchi zilizo ulaya na hata Amerika na baadhi ya mataifa mengine ya watu walio na asili ya rangi nyeupe.
Kwamba ukifatilia shughuli zao za mazishi kuanzia nyumbani hadi makaburini watu huwa si wengi kivile si watu maarufu tu! bali hata wasio maarufu. Kuna dogo alinitonya na kuniambia kwamba huku ulaya wazungu huwa wanaogopa kufa kishenzi inafika kipindi hata kuchungulia kaburi hawataki na wengine hutoa walicho nacho na kukaa mbali na misiba na wengine huwapa maiti mashirika ya mazishi ili kuzika.
Nimejaribu kufanya uchunguzi na kugundua kwamba kunautofauti katika shughuli za mazishi katika nchi za kiafrika hasa ziliso kusini na nchi zilizo ulaya na hata Amerika na baadhi ya mataifa mengine ya watu walio na asili ya rangi nyeupe.
Kwamba ukifatilia shughuli zao za mazishi kuanzia nyumbani hadi makaburini watu huwa si wengi kivile si watu maarufu tu! bali hata wasio maarufu. Kuna dogo alinitonya na kuniambia kwamba huku ulaya wazungu huwa wanaogopa kufa kishenzi inafika kipindi hata kuchungulia kaburi hawataki na wengine hutoa walicho nacho na kukaa mbali na misiba na wengine huwapa maiti mashirika ya mazishi ili kuzika.