Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 6,418
- 13,500
Ndoa sio sababu na ni uzembe kudhania ndoa ndio inasababisha watu kuuana kwani mtu hawezi kutoroka na kuanza maisha pahala kwengine?Kuna mwanamke askari huko Arusha aliyekodi majambazi kumuua mumewe ili aendelee kusagana.
Mm nadhani tatizo kubwa ni hizi NDOA mnazolazimisha kuzifunga ktk zama hizi ambazo ni za "utandauchi". Kwann mnaingia kwenye ndao??
Kataa ndoa uepuke kifo
Shida ni changamoto za akili watu wanarundika sana mambo vichwani na muda mwingine unakuta shida alikuwa nayo hata kabla ya ndoa.