moexaud
Member
- Jun 26, 2016
- 51
- 40
Ifahamike katika miji mingi hapa nchini na nchi za nje haswa katika maeneo waishio wananchi wasiojiweza ndio hutajwa kuwa na wachawi.
Kwa hapa Dar es Salaam utasikia mchawi kakamatwa Tandale au Mbagala sijawahi kusikia mchawi akamatwe Masaki au Upanga.Utasikia Sumbawanga au Tanga kuna wachawi.
Pia katika maeneo ya wenye kujiweza kiuchumi hapo hapo katiyao yule aliyechini kuliko wengine utasikia "mchawi huyo mcheki alivyo ndio maana hafanikiwi"
Huwa na jiuliza hakuna mchawi tajiri?
Na je utajiri hauendani na uchawi?
Au sifa za kuwa mchawi ni umasikini?
Kwa hapa Dar es Salaam utasikia mchawi kakamatwa Tandale au Mbagala sijawahi kusikia mchawi akamatwe Masaki au Upanga.Utasikia Sumbawanga au Tanga kuna wachawi.
Pia katika maeneo ya wenye kujiweza kiuchumi hapo hapo katiyao yule aliyechini kuliko wengine utasikia "mchawi huyo mcheki alivyo ndio maana hafanikiwi"
Huwa na jiuliza hakuna mchawi tajiri?
Na je utajiri hauendani na uchawi?
Au sifa za kuwa mchawi ni umasikini?