Dimple Jerry
Senior Member
- Dec 18, 2012
- 118
- 11
bila mu wazima wa afya,yangu jion ya leo nahitaji kueleweshwa hiv ni kwanini mapenz yamekuwa ni kitu kinachoumiza vichwa vya watu na kufanya mtu akae anawaza.Maana watu wengi ninaobahatika kuzungumza nao wanalalamikia mapenzi wakati wengine tunatafuta nafasi ya kuzama kwenye mapenzi,mwana MMU hii imekaaje?