Kuna kitu kinanichanganya sana.Nimetembea katika hoteli ni migahawa mbalimbali ndani na nje ya nchi lakini sijawahi kukuta nyama ya bata inauzwa. mfano - CHIPS BATA,WALI BATA UGALI BATA, lakini zimejaa nyama za kuku tu. Je, kwanini hatupendi kula nyama ya bata kama kuku?
Je, siyo tamu,ni gharama?
Jamani karibuni tujuzane.