kuna kitu kinanichanganya sana jamani nimetembea katika hoteli ni migahawa mbalimbali ndani na nje ya nchi lakini sijawahi kukuta nyama ya bata inauzwa mfano. CHIPS BATA,WALI BATA UGALI BATA, lakini zimejaa nyama za kuku tu. je kwa nini hatupendi kula nyama ya bata kama kuku? je siyo tamu,ni gharama? jamani karibuni tujuzane