Kwanini Magufuli anafaa kuwa rais wetu

Kwanini Magufuli anafaa kuwa rais wetu

Kamati ya maadili ndani ya ccm haikukosea kumleta magufuli
 
Ukawa ni aina ya dawa inatibu na
kutokomeza ugonjwa wa CCm na
kukuwezesha kupata kinga ya
mwili aina ya mabadiliko...
 
HAKUNA CHA JPM, JMK, wote fungu lao MOJA!! KILICHOBADILIKA NI SURA TU...ILA UTENDAJI NI ULE ULE!!!

HAKUNA MTU AMBAYE ALIAMINIWA KUBEBA MATUMAINI MAKUBWA KAMA JK, LAKINI LA KUSHANGAZA ANAONDOKA "KIMYA KIMYA" SLOGAN YA "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" IMEISHA SIKU NYINGI SANA..

KUMBE NI MASLAHI BORA KWA VIONGOZI NA WAWEKEZAJI.




Hii nchi kwa sasa inamuhitaji kiongozi wa aina ya JPM, kwa sasa ndo suluhisho la matatizo ya TZ
 
nasikia aliwahi kumpiga mkewe akamtia kilema cha mkono wa kulia na kumuumiza mdomo,na ukimchunguza mama magufuli hawezi kabisa kunyanyua mkono wa kulia na huwa anasalimia na mkono wa kushoto,pia ana kovu chini ya mdomo.

Hata mimi nasikia anampiga sana mkewe.. hawaivi kabisa ndio maana hawapo pamoja kwenye kampeni
 
Kusimamia kwa ufanisi matumizi ya fedha za umma kwa kuzingatia sheria na miongozo ya ununuzi wa umma, ukaguzi na kusimamia mali za Serikali ili Watanzania wote wanufaike na rasilimali zilizopo.

MAGUFULI ANAWEZA.
 
MAGUFULI ataimarisha ukusanyaji wa mapato kwa kuongeza vyanzo vipya vya mapato na kupanua wigo wa walipa kodi ili kuongeza uwezo wa Serikali wa kugharimia huduma za kijamii na kiuchumi.Hayo ni majukumu ya Dr.JPM.....HapaKaziTu
 
Back
Top Bottom