The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,443
- 8,288
Hii habari ya Gazeti la Mwananchi imejaa uongo mkubwa. Inasema mishahara ya paa.
Ukiangalia Ile document ya increment inasikitisha kweli sekta binafsi kima cha chini kutoka 120k Hadi 150k gazeti linasema mishahara imepaa.
Ivi Kwa dunia ya Leo Nani anaweza kuishi Kwa Mshahara wa 150k.
Amini na waambia magazeti hasa yaliyojikita kusifia serikali yana habari nyingi za mchongo.
Nakupa home Fuatilia sakata Kati ya Bandari na TICS Kwa undani na kinachoandikwa na magazeti yetu utalia.
Ukiangalia Ile document ya increment inasikitisha kweli sekta binafsi kima cha chini kutoka 120k Hadi 150k gazeti linasema mishahara imepaa.
Ivi Kwa dunia ya Leo Nani anaweza kuishi Kwa Mshahara wa 150k.
Amini na waambia magazeti hasa yaliyojikita kusifia serikali yana habari nyingi za mchongo.
Nakupa home Fuatilia sakata Kati ya Bandari na TICS Kwa undani na kinachoandikwa na magazeti yetu utalia.