Kwanini Lowassa?

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,929
Reaction score
2,567
Wadau,nimekutana na Mh. Lowassa mara kadhaa na nimemkuta na escort ya usalama wa taifa mara zote. Yeye ni waziri mkuu aliyejiuzuru,sijui kama waziri mkuu anaulinzi,sijaona kwa Mh.Warioba. Cha ajabu ni kuwa yeye sasa ni mbunge wa kawaida. Nimejiuliza kwanini bila majibu. Em tuelimishane wadau..,why ??
 
We ndugu yangu akiyekuambia Warioba hana ulinzi ni nani au ndo viroba vya Bavicha vinakusumbua
 
mbona hata Mbowe ana walinzi? Ina maana na hao ni usalama wa taifa?
 
Hata watumishi wa Mungu wana walinzi siku hizi. ...
 

Unaongelea Bw.Lowasa ambaye ameshawahi kuwa W. Mkuu si bora huyo hata Rostam Azizi pia ana ulinzi!
 
Tunakwenda kufanya kosa jingine .....Mbaya zaidi ni kama hakuna wa kufanya lolote labda J.K Nyerere afufuke .......
 
We ndugu yangu akiyekuambia Warioba hana ulinzi ni nani au ndo viroba vya Bavicha vinakusumbua

hajui ndio maana anauliza,hajanywa viroba ni banana!.MAWAZIRI WAKUU WOTE WALIOPITA WANA WALINZI
 

Usalama Huwa wana run risk assessment ya VIONGOZI wote ....Ndio maana hata kuna Wakati mwingine hata watu wasiokuwa VIONGOZI Kama Kina Mengi ..wameshawahi kupewa ulinzi wa Usalama wa Taifa....
Hii Ina maana Hao PSU kwa VIGEZO wanavyojuwa wao Ndio wanapanga ..Leo Msuya awe na Mlinzi mmoja na Warioba awe na wawili ....au Salim awe na Mmoja ...na kuna wengine wana dereva tu mwenye Bastola ..simple ..
Wao Ndio wamefanya Tathmini ya Usalama wakaona Lowassa anastahili ulinzi waliompa...
 
Lowassa ni zaidi ya tunu ya taifa lazima alindwe kwa gharama yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…