Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,319
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
QUESTIONS ONE: VP KAMA MTU ANAYEFANANA NA MIMI (LET'S SAY PACHA AU IDD AMINI ANAVYOFANANA NA YULE JAMAA WA KENYA) AKACHUKUA LESENI YANGU KISHA KUTENDEA KOSA???
QUESTION TWO: KAMA MTU ANA BIFU NA ASKARI WA USALAMA BARABARANI NA ANAJUA NUMBER YA LESENI YAKO ANAWEZA KUKUBAMBIKIZIA KOSA? POLISI KAMA JESHI WANAFANYA NINI KUDHIBITI "RISK" YA NAMNA HII???
SOLUTION ONE: Kwanini traffic akiwa kwenye mchakato wa kutoa ticket ya fine kwenye ile mashine yake kusiwe na namna ambayo dereva anaweza kuweka fingerprint yake kisha system za TRA zika confirm kuwa dereva ndio mmiliki wa leseni.
SOLUTION TWO: Kwanini driving license zisiwe na chip pamoja na password kama ya ATM card kiasi kwamba traffic akiingiza license number kutaka kutoa ticket ya fine ni lazima dereva aingize password yake.
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE.
VODACOM WAMECHUKUA WAZO LANGU
QUESTIONS ONE: VP KAMA MTU ANAYEFANANA NA MIMI (LET'S SAY PACHA AU IDD AMINI ANAVYOFANANA NA YULE JAMAA WA KENYA) AKACHUKUA LESENI YANGU KISHA KUTENDEA KOSA???
QUESTION TWO: KAMA MTU ANA BIFU NA ASKARI WA USALAMA BARABARANI NA ANAJUA NUMBER YA LESENI YAKO ANAWEZA KUKUBAMBIKIZIA KOSA? POLISI KAMA JESHI WANAFANYA NINI KUDHIBITI "RISK" YA NAMNA HII???
SOLUTION ONE: Kwanini traffic akiwa kwenye mchakato wa kutoa ticket ya fine kwenye ile mashine yake kusiwe na namna ambayo dereva anaweza kuweka fingerprint yake kisha system za TRA zika confirm kuwa dereva ndio mmiliki wa leseni.
SOLUTION TWO: Kwanini driving license zisiwe na chip pamoja na password kama ya ATM card kiasi kwamba traffic akiingiza license number kutaka kutoa ticket ya fine ni lazima dereva aingize password yake.
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE.
VODACOM WAMECHUKUA WAZO LANGU
Hatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellect
Hatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellectual endeavor. ORIGINAL THREAD HII HAPA NILIIANDIKA OCTOBER 21 MWAKA 2018. Screenshot hapo juu ni user interface ya Vodacom M-pesa. Shikamooni...
www.jamiiforums.com