Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Ndungu yangu leo mimi nikuwa nasimamia masanduku yana hesabiwa na kubadikwa matokeo ya kila kituo pale pale kumbuka unaweza kuta kituo cha shule x lakini kina vituo vingine 60 sasa kinachoenda kufanywa kwenye kata ni majumlisho pamoja na kupitia malalamiko ya mawakala au ya wasimamizi na kuanza kujumlisha na kutoa certificate kwa madiwani ndipo wanapotoa matokeo ya kata baada ya matokeo ya kata yanapelewa kwenye jimbo napo wana pitia kama kuna tatizo wana jumlisha ndipo wanatoa matokeo sasa kuna tatizo la uelewa wa mawakana na wasimamizi kwenye kujaza form na kuhesabu na kujumlisha na kutoa maana kuna vihesabu na ukizubaa unaliwa au utafanya mamo kuwa magumu hupo kwenye kata vinginevyo wanaweza kuhesabu kula sehemu yoyote kama itatokea tishio la kiusalama kwa wasimamizi....Kulingana na mahojiano yanayoendelea live sasa hivi ITV kati ya Masako na Joshua Joel kutoka sumbawanga (Rukwa), kuna jambo nimelisikia ambalo limenitatiza sana. According to Joshua, matokeo hayajatangazwa kwa vile masanduku ya kura yamechelewa kuletwa kwenye kituo cha kuhesabia kura.
Hii business ya kuhamisha masanduku toka sehemu moja kwenda nyingine kabla ya hesabu haijafanyika (kama ndivyo ilivyotokea) inatia wasiwasi wa usalama wa matokeo hayo. Nilivyoelewa mimi, kura zinatakiwa kuhesabiwa vituoni na kila kitu kinamalizika hapo kabla ya "kuhamishwa" kwenda sehemu nyingine.
Ningependa kweli kujua kama kweli utaratibu umebadilishwa, na if yes, kwa nini kura zisihesabiwe moja kwa moja vituoni?
Kwa sababu CCM wanajua watashindwa kuchakachua.
Ndungu yangu leo mimi nikuwa nasimamia masanduku yana hesabiwa na kubadikwa matokeo ya kila kituo pale pale kumbuka unaweza kuta kituo cha shule x lakini kina vituo vingine 60 sasa kinachoenda kufanywa kwenye kata ni majumlisho pamoja na kupitia malalamiko ya mawakala au ya wasimamizi na kuanza kujumlisha na kutoa certificate kwa madiwani ndipo wanapotoa matokeo ya kata baada ya matokeo ya kata yanapelewa kwenye jimbo napo wana pitia kama kuna tatizo wana jumlisha ndipo wanatoa matokeo sasa kuna tatizo la uelewa wa mawakana na wasimamizi kwenye kujaza form na kuhesabu na kujumlisha na kutoa maana kuna vihesabu na ukizubaa unaliwa au utafanya mamo kuwa magumu hupo kwenye kata vinginevyo wanaweza kuhesabu kula sehemu yoyote kama itatokea tishio la kiusalama kwa wasimamizi....
Namsikiliza huyu mtangazaji wa ITV akipewa taarifa (Masako?) akipewa matokeo ya udiwani na ubunge anaachia reporters waseme idadi, wakitaka kutaja kura za urais anawakataza na kuwaambia msitaje, kwa nini?
Halafu anaongea kama kakabwa koo au amemeza dyck. Wanaboa kichizi.
Ni wapi ambapo nitaweza kupata matokeo yote ya kura zilizopigwa katika kila kituo tofauti na zile za nec? Nataka kuandika paper kuhusu uchaguzi wa 2010 na mustakabali wa kisiasa wa Tanzania kwa siku zijazo.
Ndugu wadau naomba kuwasilisha.
Hivi kwa nini tume ya taifa ya uchaguzi isiwe wazi kuhusu mambo ya kura. Mimi nafikiri utaratibu mzuri ni ule wa kura zote kupigwa vituoni, zihesabiwe papo hapo, matokeo ya kituo yatangazwe na kila wakala apewe copy yake na wananchi wabandikiwe kwenye ukuta wa matangazo nje ya kituo. Hii itasaidia kila chama kujumlisha kura zake makao makuu ya uchaguzi bila kutegemea kusubiri msimamizi wa uchaguzi ambaye anaweza kuja kuconfirm na kuyatangaza rasmi tu.
N.B: Nilikua nafikiri masanduku ya kura yawe 'transparent' ili mwanzo wa zoezi kila wakala aone hakuna kitu ndani. Na wale wanaokuja mara kwa mara kwenye vituo vya kura wakati zoezi likiendelea wasiruhusuiwe kuwa karibu na masanduku ya kura.
ELIMU YA URAIA NI MUHIMU SANA ILI KUENDELEA KUONGEZA MWAMKO WA MABADILIKO KWA TANZANIA YETU
Ndugu wadau naomba kuwasilisha.
Hivi kwa nini tume ya taifa ya uchaguzi isiwe wazi kuhusu mambo ya kura. Mimi nafikiri utaratibu mzuri ni ule wa kura zote kupigwa vituoni, zihesabiwe papo hapo, matokeo ya kituo yatangazwe na kila wakala apewe copy yake na wananchi wabandikiwe kwenye ukuta wa matangazo nje ya kituo. Hii itasaidia kila chama kujumlisha kura zake makao makuu ya uchaguzi bila kutegemea kusubiri msimamizi wa uchaguzi ambaye anaweza kuja kuconfirm na kuyatangaza rasmi tu.
N.B: Nilikua nafikiri masanduku ya kura yawe 'transparent' ili mwanzo wa zoezi kila wakala aone hakuna kitu ndani. Na wale wanaokuja mara kwa mara kwenye vituo vya kura wakati zoezi likiendelea wasiruhusuiwe kuwa karibu na masanduku ya kura.
ELIMU YA URAIA NI MUHIMU SANA ILI KUENDELEA KUONGEZA MWAMKO WA MABADILIKO KWA TANZANIA YETU