Kwanini kila Rais na walinzi wapya?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Nimefuatilia nyuso za walinzi wa JPM na Samia Suluhu Hassan ni tofauti. Wamembadilisha.

Vivyo hivyo wale wa enzi za JK ni tofauti kabisa na wa JPM. Hili lipo hata kwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Swali: Kwanini walinzi wa viongozi wa kitaifa huwa hawajirudii kumlinda kiongozi anayefuata?

Na wanapoachwa wanakuwa wanapelekwa wapi?

Inaonekana TISS wana staffs wengi sana. Maana sura mpya kila anapokuja kiongozi mwingine.
 
Ndiyo kazi ilivyo. Wao wanaita detail, ni kundi la walinzi wanaochaguliwa specific kwa mtu specific. Akibadilishwa na wao wanabadilishiwa wajibu.
 
Kuna mmoja alikua anamlinda kawawa, akaja kwa muzee ya lupaso, akaja kwa jk, Sasa ni Ara sii wa mkoa Fulani.

Amelinda Sana viongozi wote hao,unamtegemea tu na zali lake mtu
 
Sio kweli unachokisema ,walinzi wa Nyerere kuna baadhi walihudumu Kwa rais Kikwete na hata Kwa Magufuri kuna 1 kahudumu hadi mwanzoni mwa mwaka Jana ndo amestaafu.
 
Nimefuatilia nyuso za walinzi wa JPM na Samia Suluhu Hassan ni tofauti. Wamembadilisha.

Vivyo hivyo wale wa enzi za JK ni tofauti kabisa na wa JPM. Hili lipo hata kwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Swali :- Kwanini walinzi wa viongozi wa kitaifa huwa hawajirudii kumlinda kiongozi anayefuata ?

Na wanapoachwa wanakuwa wanapelekwa wapi ?

Inaonekana TISS wana staffs wengi sana. Maana sura mpya kila anapokuja kiongozi mwingine.
Please be specific!!!!

Unapozungumzia walinzi una maanisha ADCs - wapambe au wale wengine wanaokaaga pembeni mwa Rais??

Kama ni ma-ADCs wengine walitoka kwa Mkapa wakaja kwa JK na bada ya yule kustaafu akiwa JK bado madarakani yule aliembadili alihamia kwa JPM, nafikili mtamkumbuka jamaa fulani alikuwa mweusi mpaka JPM akichekesha jambo nae alikuwa anacheka lakini badae nae alistaafu bada ya kupewa cheo cha Brig. General. Maana ma-Rais wanalindwa na Colonel au Kanali wa jeshi.
 
Ni mfumo wa dunia yote. UK wao wamefika mbali. PM akiondoka, anabebeshwa kila kitu na wafanyakazi wake hadi paka. Ni Paka wa Waziri Mkuu Cameron peke yake aliyeruhusiwa kuendelea kuishi ikulu wakati mmiliki wake ameondoka ikulu.
 
Back
Top Bottom