Kwanini kila namba ikizidishwa mara sifuri jibu lake linakuwa sifuri? My answer is more spiritual than Mathematical

kama wewe umeoa wake wanne halafu kampani yako ni watu ambao hawajaoa. Mwisho WA siku utajikuta na wewe hauna mke hata mmoja Kwa sababu you will be influenced by their life style

Usiniambie!
This is a one sided thinking; kwa nini usiseme kuwa baada ya muda na wao watakuwa na wake wanne kila mmoja kama wewe.
 
Unafeli wapi mzee 7×0=0
0 husimama kama nadharia si kitu halisi
 


Umetisha sana.
 
Ungetuambia hii idea/concept umeitoa wapi kwanza

Vinginevyo kuna hoja hapa
 
Au chukua hii,

Viwanda 8000+,

halafu kumbe hakuna kiwanda hata kimoja(0).

Unakuwa na viwanda vingapi hapo?
 
Mkuu hesabu ina sheria zake,
Kuna kitu inaitwa laws of property kwenye hesabu ambapo multiplication ina obey commutative law (i.e 7×0 = 0×7) sasa sijui we unatumia maarifa gani kusema 7×0 sio sawa na 0×7.

Hesabu ni sayansi na science has no democracy. Science is about facts and facts have no feelings.

Katika vitu usiweke maoni yako ni science, hizi facts zilizopo ni after a thorough research kwa hiyo kama unataka kuraise critics you better do your homework (research) first.
 
Embu angalia hapa

2x2=4 and 2+2= 4 , 3x3=9 and 3+3=6 and 1+1=2 and 1x1=1

How can you prove the above solution mathematically.?
 
Afu nyie watu mliokimbia umande mnalazimisha Sana kujua hesabu ukubwani

Haya tuanze hapa
7*0=0
Kwa maana ya summation inakuwa hivi
Kwanza namba 0 = nothing
So ziro ziwe Saba
0+0+0+0+0+0+0=0
Au maana nyingine 7 iwe ziro
7=nothing=0
Imeisha hiyo
Umeanza vzr umekuja kijichanganya, 7 it can't be zero
 
Jamaa uko sahihi!
7 x 0 = 7
0 x 7 = 0

( kumbuka kuzidisha ni hivi
2 x 0 = 2 + 0

Au
0 x 2 = 0+ 0
.......
Ukibisha sawa tu,
 
Jaribu kutumia makumi uone.. Mfano 70x7

Kwa maelezo yako happ juu kwa kutumia mfano huo je inapaswa kuwa
70x7= 77 au 7x70= 77

Je ni kweli 7 ziwe kwa idadi ya 70 ukizijumlisha zote zitakuwa 77 ??

Au 70 ziwe kwa idadi ya 7 na ukijumlisha zitadika 77 ??

Nazani nishaitimisha
 
Ukisema 7×0=0×0 maana yake unalzmisha 7 kua sifur kitu ambacho cyo sahh
Mathematically unaposema a×b = c×d haimaanishi kuwa a =c na b = d. The concept behind ni kuwa right hand side equals to left hand side kwa hiyo 7×0 = 0×0 is mathematically correct since LHS = RHS.
 
Mathematically unaposema a×b = c×d haimaanishi kuwa a =c na b = d. The concept behind ni kuwa right hand side equals to left hand side kwa hiyo 7×0 = 0×0 is mathematically correct since LHS = RHS.
Huo n mfano bro ujajbu swal na mm naeza sema 1×2= 0.5×4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…