Kwanini Kikao Cha UKAWA hakina msisimko?

Ok rai yangu kwa mashabiki wa ccm ukibeza beza kwa hoja sio kwa kejeli.Imani yangu ni kwamba yeyote anayeitetea ccm anafaidika kwa namna moja au nyingine hamna jinsi ila kumbukeni mwenyekiti wenu amekiri kuwa ccm ina rasilimali nyingi lakini hazitumiwi kwa maslahi ya chama vipi sasa hivi muweze kutumia rasilimali za taifa kwa maslahi ya umma.
 
wajipange kutafuta viti vya ubunge maana mwenye magogoni ameshapatikana,
maana kipaombele chetu mwaka huu ni kwa umri wako umelifanyia nini taifa letu
 

kwa ukweli kabisa tuna safari ndefu kwa hiyo kazi wanayofanya wapinzani bungeni ni kutaka umaarufu duh bora sikupewa mali lakini huu uwezo wa kufikili unatosha sana
 
Unataka msisimko gani?

Subiri baada ya uchaguzi ndo utajua msisimko unaoutaka.
 

Soma blog ya michuzi.! Kama wewe hufatilii shauri yako. CCM ni chama kikubwa, chama tawala lazima watanzania wafatilie kwa kuwa ni potential contender. Kama EL asingekuwa kwenye gemu msisimko unngepungua naamini! Utakumbuka baada ya kubaki mwanaume mmoja na wanawake wawili msisimko ulipungua kwa kuwa kila mtu alijua the end itakuwaje
 

kitakacho-matter mwisho wa siku ni matokeo.

usisahau juzi tu hapa Lowasa alisababisha media frenzy (ambayo naweza na kuilinganisha na expression yako ya "msisimko") wakati wa kutafuta wadhamini.

je, ulisikia media ikitikisika hata kidogo Magufuli alipokuwa anapitia mchakato huo huo?

nakuachia ujaze mwenyewe yaliyobakia, ila nakushauri usiwabeze UKAWA kama watu walivyombeza Magufuli!
 

na anayeshabikia sacoss ya wagombania vyeo na madaraka ana
masilai nao.
 
Tulikuwa na shahuku ya kuangalia vituko, mizengwe, goli la mkono alilopigwa Lowasa na mabegi ya noti
 
Msisimko utatoka wapi wakati hakuna mauno ya kukata na shoka ya Khadija Kopa? Kama umeona Yale mauno alikuwa anashusha mama yule basi kama hujasisimka wewe sio rizki kabisa.
 
mikakati ya kuikabili CCM haipashwi kuwa ya msisimko ila ya uhakika
 
Hakuna watu wanaoutaka uongozi kwa kugawa pesa nyumba za ibada na kushinikiza watu hata kuja na kauli mbiu yao hakatwi mtu na wameunguza mabilioni na nyingine zimekamatwa.

Kwa Kuwa wao hawana rushwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…