Kwanini Kigololi (kivimbe) ukeni kwa mjamzito?

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
Siku moja jioni mke wangu mjamzito alikuwa na kivimbe kama kigololi au kitenesi hivi kstikato mwa uke wake, hapo alikuwa na ujauzito wa miezi Saba.

Nikampeleka hospitality docta akasema ni kawaida kwa wanawake waja wazito baadhi yao kuwa na kitu ka hicho na kitapotea chenyewe na kwamba si lazima kunywa dawa, kweli baada ya siku chache kitapotea chenyewe.

Lakini baada ya mwezi mmoja leo kimetokea Tena hakimuumi ila kiuno tu ndo kinamuuma, naomba wataalam na wanawake mniambie experience zenu kuhusu hi Hali,

Isije kuwa hatari
 
Mkuu hakuna hatari, mwanamke anapokuwa mjauzito mabadiliko mengi kwenye mwili wake hujitokeza. Maumivu ya kiuno haiyusiani na icho kiuvimbe ni hali ya kawaida mtoto anapojigeuza kwa mimba ya mkeo miezi 7,ajitahidi kufanya mazoezi na kupunguza kufanya kazi ngumu kama anafanya asitembee umbaki mrefu kama anatembea.

Watalaamu watakuambia vizurii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom