muhamar Gadaf
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 1,054
- 994
Tukuyu, Mbeya.
Kweli wa muwasu,hasa yale makaburi ya mwisenge!nenda salama braza.
nakubali sana swaga zako.
lakini najiuliza, ni kwa nn familia yako imeamua kukuzika dar es salaam na sio mbeya kwenu ?
jamani inapendeza sana siku tukifa tuzikwe mikoa tuliyo tokea
siku nikifa naomba nizikwe mkoa wa mara pale musoma mjini ( kamnyonge )kwenye chipuko la babu zangu.
hata wewe ukifa kazikwe kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wachaga não huzikwa vijijin mchaga hata afie ulaya lazma azikwe moshiKuna makabila mengine ni mwiko kuzika mtu pasipo chimbuko la ukoo wake.mfano mkuu wahaya mara nyingi huzikwa huko vijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
Uache kabisa gharama za kusafirisha maiti yako, usitake kutupa mizigo ya bure. Kwani tukikuchoma moto au tukikuzika mabwepande utatufanya nini na ushakufa?nenda salama braza.
nakubali sana swaga zako.
lakini najiuliza, ni kwa nn familia yako imeamua kukuzika dar es salaam na sio mbeya kwenu ?
jamani inapendeza sana siku tukifa tuzikwe mikoa tuliyo tokea
siku nikifa naomba nizikwe mkoa wa mara pale musoma mjini ( kamnyonge )kwenye chipuko la babu zangu.
hata wewe ukifa kazikwe kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeacha nauli?nenda salama braza.
nakubali sana swaga zako.
lakini najiuliza, ni kwa nn familia yako imeamua kukuzika dar es salaam na sio mbeya kwenu ?
jamani inapendeza sana siku tukifa tuzikwe mikoa tuliyo tokea
siku nikifa naomba nizikwe mkoa wa mara pale musoma mjini ( kamnyonge )kwenye chipuko la babu zangu.
hata wewe ukifa kazikwe kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli. Ukifa habari yako imeishia pale. Ule mwili ni takataka tu inaenda kuoza.
Dah....Kuna mchaga alifia Moshi...akaja kuzikwa Dar...ndani ya uzio wa nyumba yake...Kimara...Cha msingi ni makubaliano tu..Hata wachaga não huzikwa vijijin mchaga hata afie ulaya lazma azikwe moshi
Sent using Jamii Forums mobile app
nenda salama braza.
nakubali sana swaga zako.
lakini najiuliza, ni kwa nn familia yako imeamua kukuzika dar es salaam na sio mbeya kwenu ?
jamani inapendeza sana siku tukifa tuzikwe mikoa tuliyo tokea
siku nikifa naomba nizikwe mkoa wa mara pale musoma mjini ( kamnyonge )kwenye chipuko la babu zangu.
hata wewe ukifa kazikwe kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app