Nakuambia tunazidiana vitu flanflani....wakenya kuna mambo tunawazidi na wao kuna mambo wanatuzidi... Lakini tukubaliane kwamba pamoja na kwamba kuna mambo fulani fulani tunashabihiana lkn ukweli uko palepale kwamba huwezi kuwalinganisha watanzania na wakenya katika maswala ya kujitambua kwa watu.
Wako kimataifa zaidi
Ova
When NIC Bank Kenya was acquiring Savings and Finance Commercial Bank, it highlighted a significant education gap between Kenyans and Tanzanians. I used to work for NIC Bank back then. Your education system needs restructuring for you to remain competitive in the International job market.Hawana wanachotuzidi kuna maeneo huko Kenya ukienda mpaka leo network hakuna mtandao haukamati inakulazimisha upande gari zaidi ya kilometres 20 ndio unaenda kupata mtandao Ila hilo TZ hakuna Jambo km hilo network kila unapoenda IPO, kwenye michezo the same hakuna wanachotuzidi labda uongozi tu TZ figisu nyingi riadha kuna wanariadha wazuri hapa Ila figisu figisu nyingi wanaishia kuozea kwenye mabanda ya kubet na vipaji vyao hadi wanakufa masikini
Ukija kwenye Muziki huko ndio kabisa wanamuziki wa TZ ndio masupastar wa kubwa wa Kenya, kwa hio hakuna wanachotuzidi labda kutoa rais wa Dunia ya kwanza kutoka Kabila la Wajaluo hapo ndio wanaweza sema aisee
si uende uishi huko bongolalaMimi nasikia uchungu sana kama mkenya.
1) LughaHivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana
Katika bara letu la AFRICA?
Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana
Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?
Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.
WHY KENYA?
We supported apartheid south Africa and agreed to the safariclub arrangement. We support apartheid Israel and involve ourselves in in Ukraine russia business instead of being non aligned. Kenya is a neocolonial state firmly in the hands of global capitalistssi uende uishi huko bongolala
wewe lia kabisa hata ukipenda, ujaze bucket nzima na machozi. nchi yako Bongolala iko 30yrs behind Kenya and yes we undermine 'them' coz we can. Kenya is to Africa as America is to the world. Tutawawekea hadi sanctions kama hamuwezi kuwa serious.We supported apartheid south Africa and agreed to the safariclub arrangement. We support apartheid Israel and involve ourselves in in Ukraine russia business instead of being non aligned. Kenya is a neocolonial state firmly in the hands of global capitalists
There is a lot the country does to undermine African countries that I cant speak of. Only Kibaki had a spine
la hasha! ni bidii na Akili Kubwa!VIHERE HERE
have a look πππWe supported apartheid south Africa and agreed to the safariclub arrangement. We support apartheid Israel and involve ourselves in in Ukraine russia business instead of being non aligned. Kenya is a neocolonial state firmly in the hands of global capitalists
There is a lot the country does to undermine African countries that I cant speak of. Only Kibaki had a spine
Well said ππΎhave a look πππ
View attachment 2961590