Hapa Mwisho umepigilia msumali wa motoAngalia vipaji vya riadha vile vile vilivyopo Kenya Tanzania vipo, ila mafanikio ya riadha Kenya ni tofautibkabisa na Tanzania.
Tanzania figisu za kisiasa nyingi sana. Kenya wenzetu wanapeana fursa na michongo.
Nchi kubwa iliyotawaliwa na Muingereza Afrika ya Mashariki. Na ndio makao makuu ya MwingerezaHivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana
Katika bara letu la AFRICA?
Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana
Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?
Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.
WHY KENYA?
Wewe umetoka na bile yako ya Nairobi vs Dar ukaleta huku. Angalia watanzania wenzako wasiokuwa na uzalendo bandia (blind patriotism) wanavyochangia humu. Take this bile away. Hapa tunaongea pasi na uzalendo
What facts?Please Please Please!!!
Stop attacking me. Attack the facts.
Hii sio kweli, Tanzania kuna maeneo mengi tu hamna mitandao ya simu, hata ukipanda tu basi kutoka Dar kwenda Mwanza humo njiani kuna maeneo ambayo mitandao ni shida.Hawana wanachotuzidi kuna maeneo huko Kenya ukienda mpaka leo network hakuna mtandao haukamati inakulazimisha upande gari zaidi ya kilometres 20 ndio unaenda kupata mtandao Ila hilo TZ hakuna Jambo km hilo network kila unapoenda IPO, kwenye michezo the same hakuna wanachotuzidi labda uongozi tu TZ figisu nyingi riadha kuna wanariadha wazuri hapa Ila figisu figisu nyingi wanaishia kuozea kwenye mabanda ya kubet na vipaji vyao hadi wanakufa masikini
Ukija kwenye Muziki huko ndio kabisa wanamuziki wa TZ ndio masupastar wa kubwa wa Kenya, kwa hio hakuna wanachotuzidi labda kutoa rais wa Dunia ya kwanza kutoka Kabila la Wajaluo hapo ndio wanaweza sema aisee tumewapiga bao
Pole ndugu ,unateseka ukiwa wpi?6. Nepotism
7. One of the world's top (ten slum HQ).
8. Terror hot bed
we naww Mwili mkubwa akili kisoda!Kenya nimefika sio kuzuri sana kama 🇨🇩 now nipo Italy kwenye baridi kaliii
I beg to differ ,Kenya hata vijijini mtandao upo strong.ila tz Arusha na dodoma katikati Hamna network I swear.Hawana wanachotuzidi kuna maeneo huko Kenya ukienda mpaka leo network hakuna mtandao haukamati inakulazimisha upande gari zaidi ya kilometres 20 ndio unaenda kupata mtandao Ila hilo TZ hakuna Jambo km hilo network kila unapoenda IPO, kwenye michezo the same hakuna wanachotuzidi labda uongozi tu TZ figisu nyingi riadha kuna wanariadha wazuri hapa Ila figisu figisu nyingi wanaishia kuozea kwenye mabanda ya kubet na vipaji vyao hadi wanakufa masikini
Ukija kwenye Muziki huko ndio kabisa wanamuziki wa TZ ndio masupastar wa kubwa wa Kenya, kwa hio hakuna wanachotuzidi labda kutoa rais wa Dunia ya kwanza kutoka Kabila la Wajaluo hapo ndio wanaweza sema aisee tumewapiga bao
Aliyekuzaa ndio hayupo timamuwe naww Mwili mkubwa akili kisoda!
Anaongelea Umaarufu siyo uzuri
Na nyie kazi yenu ni kucheza pool table na kushinda njaaa maana unga hamna nyieTanzania unakuta asubuhi tu watu wapo vijiweni wanacheza bao na kubishana mambo ya Simba na Yanga.
Kenya huo upuzi haupo
Na nyie kazi yenu ni kucheza pool table na kushinda njaaa maana unga hamna nyie
Nchi zipi hizo?Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana
Katika bara letu la AFRICA?
Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana
Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?
Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.
WHY KENYA?
Na nyie maisha yetu yanawahusu niniNjaa zetu zinawahusu nini
Mlikua lobour wote mnazaa!!???Aliyekuzaa ndio hayupo timamu