kwanini jamani wanaume mnafanya hivi???

kwanini jamani wanaume mnafanya hivi???

NAUREEEN

Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
66
Reaction score
52
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.
 
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.
...kabla sijatoa hoja,umefanya utafiti kwa wanume wangapi, walikufanyia wewe au unaambiwa..?
 
Dah pole sana..ukiona hivyo jua umechokwa..mimi nikimchoka msichana huwa namfanyia hivyo mpaka anikome!!
 
Yawezekana kakuta yaliyomo hayamo.....

Wanawake wana-FAKE sana life, akikukubalia na ukiaa naye ndio unagundua hili... Ndio maana wanaume wana give up mapema.....
 
hapo si anakuwa ameshapata anachokitaka!!!!!

though mie mwenyewe katabia ka kuandika msg ndefu
umejieleza mwenyewe afu mtu anakujibu "k" akiongeza sana ni "ok"
 
...kabla sijatoa hoja,umefanya utafiti kwa wanume wangapi, walikufanyia wewe au unaambiwa..?

Yaonyesha wanaume anakuwa nao huwa hawamfahamu/kumjua ila akiwakubali tu wanagundua matatizo yake hivyo ndio tatizo la simu linakuja .....
 
Shida hua inakua binti kaanza kuboa, mi nikwambie ukweli tu kuna mabinti wanaboa, hasa mabinti wa kibongo, wana mapenzi fulani ya ovyo-ovyo sana, hawaishi kama wao bali wanataka kuiga mapenzi wanayoyaona kwenye TV, mtu unaniandikia meseji una-quote maneno wimbo flani, kama sitokuona mshamba ni nini? unakutana na mimi unataka tuwe kama flani uliyemuona kwenye tamthilia flani, unadhani sitokuchoka? Sijawahi kua na binti wa kitanzania akawa ana act natural, afu kukaa na kufundishwa mapenzi na marafiki kufatafata mkumbo, yani mabinti wa kibongo wana matatizo mengi kinoma ambayo mimi in general at first wakati namtambua mtu anajibu sincerely ila mkisha kua wapenzi anamapenzi ya ovyo ovyo, hua naboreka i give up quickly, najua utofauti maana nimekua na binti wa nje pia na sio moja.. Alafu tatizo mabinti wengi hufunua sana, mapenzi sio ngono, mbona muda wa ngono utakuwepo tu, sasa mtu anafunua kila mkionana, afu bado anataka afanye kama anavyoona kwenye po.rn na sio natural, binti wa hivi kwa mwanaume moja kwa moja anaonekana kicheche tu, atachukuliwa kama wa starehe afu baada ya muda kushnehi, na kuna yale mapozi flani ya binti unakuta analeta mapoz maksudi kabisa, fanya hivi hataki, hivi hataki, sasa at first inaweza ikawa sawa ila ikiwa kila siku inafika time inaboa vilevile since hata kama ntakuachia kila siku at least for once do as i ask evn if ts boring u, kwani c ndio love, we sacrifice both sides, afu sijui ila ukweli wangu toka moyoni kwa binti wa kibongo sijawahi ona ile love ya natural zaidi ya ile ya ku-act... Sisemi mabinti wote wa kibongo wako hivyo, hapana maana sijatembea na mabinti 100 mimi, na hata wavulana wengi wanataka act za kwenye tv pia kwa hiyo sio mabinti muumie tu... Kwa nini nime-concentr8 sana kwenye kuongelea TV stfz, TV hua zinabadilika, sasa leo nikiona mapenzi haya kwenye TV na ukanipatia the same, nitaona mengine haya nitayachoka nitataka kitu tofauti na hicho nitatafta kwingine, kama una update antivirus vile umenisoma dada??? Maoni yangu jamani sio nianze kupewa critics utasema ndio nime-conclude kwa wanaume wengine hapana, hayo ni yangu na jinsi navyoona mimi
 
Gefu ni kwamba ni zaidi ya watano.
 
Last edited by a moderator:
mi sidhani kama nnakuwa nimechokwa,kwa sababu mwingine hata kuonana unakuwa hujawahi kuonana nae....anakuwa anakutafuta sana pindi tu utakapo anza na ww kumtafuta anaaanza kama kukupush hvi na ukianza na we kumpush anajirudi..sasa mi nachanganyikiwa.
 
sidhani kwa sababu kuna mwingine anaanza ku push hata hamjakutana kimwili na ukianza nawe kumpotezea anarudi!!!
 
Hizo ni tabia za kike mara nyingi,lakini ukikuta mtu mwenye jinsia ya kiume ana tabia hiyo atakua ni mtoto
'
For sure!
 
Ukiona yuko bisy na wewe kuwa bisy,kama anakutaka atakufuata tuu.jaribu kuwa
mpole usimfuatilie sana mwanamme atakuchoka haraka.sifanye kama hupendi sana
utaona tuu anakupa utakacho,mpaka vingine atakuuliza kama unataka
 
Kwani kuna tatizo gani tukikwambia tuko busy au unataka tukudanganye nipo uelewe
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.
 
Ili niweze kutowa msada wangu wa kiushauri ningeomba ufafanuzi kidogo zaidi katika hili la kutongozwa ,nakuomba unieleza jinsi ya hayo matongozaji yalivyoanza, namainisha ni maneno gani alikwambia yaliyokupelekea ukamini kuwa anakutonzoza ?ninachotaka kujuwa ni hayo maneno ili nitowe ushauri wangu utakao kusaidia siku zijazo.
 
hapo si anakuwa ameshapata anachokitaka!!!!!

though mie mwenyewe katabia ka kuandika msg ndefu
umejieleza mwenyewe afu mtu anakujibu "k" akiongeza sana ni "ok"

mwanaume ukisha mvulia nguo tu! maginal utility inaanza pungua na mawasiliano yanashuka. Wanaume hawapendi kikwelii wengi tamaa! wakati wanawake wanamwaga mioyo yao yote sasa mwanaume akisha pata anachotaka mzuka unashuka wakati mwanamke ndo anazidi kupenda!
 
dear,nimependa sana ushauri wako naimani utanisaidia sana.
 
mi ambacho hapo bado napinga ni kwamba muda mwingine hata hujamvulia nguo na anafanya hivo...nikaanza kuhisi mwenyewe kichwani labda wanaume hawapendi kupendwaaa au???yani kama mwanamke akimtafuta sana yeye analoose interest!!
 
Back
Top Bottom