AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,898
nimekuwa nikijiuliza, faida ya kagame cup ni nini?ni kumtukuza rais kagame au ni kwasababu africa mashariki na kati hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuweka kombe kama alivyofanya kagame?
kwanini tunaliita kagame cup? huyo jamaa amekuwa adui wa watanzania kwa kitambo kwanini bado tunamtukuza adui aliyesema atamvizia rais wetu amtwange? watz kwanini tusiwaache kabisa hao na kombe lao la kagame na musyonye?
kwanini lisibadilishwe jina badala ya kuitwa kagame cup liitwe jina lolote linalohusiana na East and central africa?au pamoja na the horn of africa?
kwanini tunamtukuza kagame ambaye anazo allegation nyingi sana za mauaji ya wapinzani wake pamoja yaliyojiri hadi kufikia genocide Rwanda? kwanini tusibadilishe kabisa jina hili, kajamaa kametutawala?
kama ni mpira wa africa mashariki wote, tunatakiwa kubadilisha jina. zaidi sana angekuwa anatoa hela nyingi tungesema sijui, sasa mshindi wa kwanza anapata dola alfu 30 tu (ambazo manji anao uwezo kutoa mil. 100 watu waingie yanga bure),....
kwanini tunaliita kagame cup? huyo jamaa amekuwa adui wa watanzania kwa kitambo kwanini bado tunamtukuza adui aliyesema atamvizia rais wetu amtwange? watz kwanini tusiwaache kabisa hao na kombe lao la kagame na musyonye?
kwanini lisibadilishwe jina badala ya kuitwa kagame cup liitwe jina lolote linalohusiana na East and central africa?au pamoja na the horn of africa?
kwanini tunamtukuza kagame ambaye anazo allegation nyingi sana za mauaji ya wapinzani wake pamoja yaliyojiri hadi kufikia genocide Rwanda? kwanini tusibadilishe kabisa jina hili, kajamaa kametutawala?
kama ni mpira wa africa mashariki wote, tunatakiwa kubadilisha jina. zaidi sana angekuwa anatoa hela nyingi tungesema sijui, sasa mshindi wa kwanza anapata dola alfu 30 tu (ambazo manji anao uwezo kutoa mil. 100 watu waingie yanga bure),....