Kwanini isiwe Mwanza,Tanga,Iringa n.k?

Kwanini isiwe Mwanza,Tanga,Iringa n.k?

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,552
Hivi kwanini kila ofisi ya kimataifa inajengwa Arusha tu hapa Tz?naona hata hii ya Afrcan Postal ni huko,kulikoni wadau?
 
Hivi kwanini kila ofisi ya kimataifa inajengwa Arusha tu hapa Tz?naona hata hii ya Afrcan Postal ni huko,kulikoni wadau?
Unataka wakajenge wapi?? Sumbawanga?
Arusha ni jirani na Kenya, Nairobi ina uwanja wa ndege unaounganisha EA na sehemu mbalimbali za ulimwengu pia Dar es Salaam.
Panafikika kirahisi kwa basi na ndege, pia zamani treni la abiria lilikuwa likifika mji huo
 
Arusha ni strategic area, kiuchumi, kiutalii kijiografia nk. Arusha ni Geneva ya Africa , ulikuwa hulijui hilo?
 
inawezekana kujenga miji mingine kama Mbeya ,Tanga,au Mwanza ni miji inayofikika vizuri.tatizo kila kitu ni Dar au Arusha ,inabidi miji mingine nayo iendelezwe inapewa hadhi ya majiji lakini haiendelezwi.
 
Mkuu Kitulo umenielewa,haya mambo ya kufkka kiurahisi yamepitwa na wakati sana,kama kwend London ni kwa siku moja iweje
 
Hivi kwanini kila ofisi ya kimataifa inajengwa Arusha tu hapa Tz?naona hata hii ya Afrcan Postal ni huko,kulikoni wadau?

huo ni mpango tu serikali kuamua kwamba arusha iwe kimataifa zaidi sio mbaya kwa hilo, mbeya imepewa kua ghala la taifa mwanza mji wa biashara acheni majungu men.....kwamfano mwanza nzima inavyumba 400 tu yvakukidhi mahitaji ya wageni wenye hadhi wakati arusha wana vyumba zaidi ya 3000
 
huo ni mpango tu serikali kuamua kwamba arusha iwe kimataifa zaidi sio mbaya kwa hilo, mbeya imepewa kua ghala la taifa mwanza mji wa biashara acheni majungu men.....kwamfano mwanza nzima inavyumba 400 tu yvakukidhi mahitaji ya wageni wenye hadhi wakati arusha wana vyumba zaidi ya 3000

Kama takwimu zako ni sahihi, basi umenikata maini sina cha kuchangia bhanaaaaaa we ni mbuzi kmatoriki pita tu.
 
tatizo ni kuacha akili ndgo itawale akili kubwa, think tank ya serikali na ccm iko empty, hakuna creativity wala kufanya mambo altenatively, kuna haja gani ya kutandika mabomba ya gesi ktoka mtwara na lindi mpka dsm eti kujenga kituo kitakachozalisha gesi na umeme. hiki kituo kingejengwa mtwara dunia ingepinduka? hata kiusalama sio nzuri, strategically it is no advisable to put all your eggs in one basket. Dsm ikitekwa nchi yote inasimama, no recovery sites, stupidity at best.
 
SoNotorious imagine Arusha inakumbwa na catastrophy yoyote,kwann tusi-decentralise tkasaidia hata kuinua sehemu zingine?
 
Hivi kwanini kila ofisi ya kimataifa inajengwa Arusha tu hapa Tz?naona hata hii ya Afrcan Postal ni huko,kulikoni wadau?
Madada Poa wako wengi sana Arusha tena wanaotoka Singida Wanyiramba,Wanyaturu na ndugu zao Wambulu bila kuwasahau Warangi! Tena taaluma yao kuu ni kuwa Ma barmaids.
 
Back
Top Bottom