Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Sijawahi ona Taifa korofi kama Iran
Huko Yemen wanaua watu km wanaua kuku wananchi hawazalishi,hawaendi shambani kuzalisha, Watoto wanakufa njaa
Iran haangalii mateso ya watu wa Yemen mbaya zaidi ni dini moja ila Bado wanaua raia wasio na hatia
Yemen imeoza haina tofauti sana na somalia ila Iran hajali Hilo yeye anaua watu
Nawaza tu km sio huruma ya saudia arabia na UN kusaidia kupeleka msaada ya kibnadamu ni wazi Yemen ingeshaangamia
Dunia imekaa kimyaa Huku Iran akiua watu km kuku huko Yemen Kwanini?
Hili ingekuwa Africa mebeberu wangeshanyanyua midomo kututusi ila wamewaacha Iran wanaua watu hovyo sana
Huko Yemen wanaua watu km wanaua kuku wananchi hawazalishi,hawaendi shambani kuzalisha, Watoto wanakufa njaa
Iran haangalii mateso ya watu wa Yemen mbaya zaidi ni dini moja ila Bado wanaua raia wasio na hatia
Yemen imeoza haina tofauti sana na somalia ila Iran hajali Hilo yeye anaua watu
Nawaza tu km sio huruma ya saudia arabia na UN kusaidia kupeleka msaada ya kibnadamu ni wazi Yemen ingeshaangamia
Dunia imekaa kimyaa Huku Iran akiua watu km kuku huko Yemen Kwanini?
Hili ingekuwa Africa mebeberu wangeshanyanyua midomo kututusi ila wamewaacha Iran wanaua watu hovyo sana