Kwanini huniamini?


Haya kila la kheri
 
unatamani umrukie umle nyama

!
!
@kiomba simu joto linapanda mno aisee. Noma zaidi simu iko silent bila hata vibration karibu na tv au radio mara unasikia titititititiiiiiii kutoka kwenye spika unaona loooh patanuka hapa...... siku hizi nimegundua airplane mode on ngoma mpaka asubuhi haiiiti wala haizimi.
 
Bibi angu alikuwa anatuita mabinti sayuni enzi hizo tunaimba kwaya kanisani sunday school

hahahahaaaaa Enzi hizo kabla ya kwenda sunday school tunakunywa uji wa lusera hahahaaaaaa
 
mmh we nae umezidi na viporo loh punguzu
 
Mie ukinifatilia utakayojua ni bora usiniulize!!!!!!! yenyewe tu hainaga shombo ya peke yako utaipata wapi????
 

duh!hatariii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…