Kwanini hujatoboa mpaka leo?

Strong25

Senior Member
Dec 6, 2021
168
356
Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi?

Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu

Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi

Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka

Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia kuchezesha hapo __kwamuda mfupi tu mtu kafungua kiduka kidogo dogo mara gafla tu limekua duka la jumla mara kashanza kujenga mara kashanunua gari mara mara tayari duka nikubwa kabisa anashusha mzigo kwa mafuso

Nawasilisha
 
Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi?

Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu

Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi

Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka

Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia kuchezesha hapo __kwamuda mfupi tu mtu kafungua kiduka kidogo dogo mara gafla tu limekua duka la jumla mara kashanza kujenga mara kashanunua gari mara mara tayari duka nikubwa kabisa anashusha mzigo kwa mafuso

Nawasilisha
Ni muhimu mjadala kama huu usiachwe ukaenda hivi hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom