Strong25
Senior Member
- Dec 6, 2021
- 168
- 356
Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi?
Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu
Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi
Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka
Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia kuchezesha hapo __kwamuda mfupi tu mtu kafungua kiduka kidogo dogo mara gafla tu limekua duka la jumla mara kashanza kujenga mara kashanunua gari mara mara tayari duka nikubwa kabisa anashusha mzigo kwa mafuso
Nawasilisha
Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu
Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi
Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka
Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia kuchezesha hapo __kwamuda mfupi tu mtu kafungua kiduka kidogo dogo mara gafla tu limekua duka la jumla mara kashanza kujenga mara kashanunua gari mara mara tayari duka nikubwa kabisa anashusha mzigo kwa mafuso
Nawasilisha