Kwanini Hosptali za Serikali hakuna dawa?

Kwanini Hosptali za Serikali hakuna dawa?

kindume

Senior Member
Joined
Feb 25, 2017
Posts
110
Reaction score
54
Ukiona hauna bima na ukapelekwahospali ya serikali na hauna pesa ujue unakufa bila huduma, dawa hakuna,

Navilevile hata ukienda duka ladawa, basi dawa zote zimepanda bei sana
 
Una utani na Mh. Martha Mlata wewe!! Unakumbuka siku ile Zito alipomkata kauli alisemaje kuhusu madawa hosipitali? Yapo teleeee
 
Ukiona hauna bima na ukapelekwahospali ya serikali na hauna pesa ujue unakufa bila huduma, dawa hakuna,

Navilevile hata ukienda duka ladawa, basi dawa zote zimepanda bei sana


Chadema wameiba dawa zote!
 
Hospitali za Serikali zipo nyingi ni ipi hiyo isiyokuwa na dawa nisije kujikuta naenda?
 
Ukiona hauna bima na ukapelekwahospali ya serikali na hauna pesa ujue unakufa bila huduma, dawa hakuna,

Navilevile hata ukienda duka ladawa, basi dawa zote zimepanda bei sana
Hela za madawa tumenunua bombardier...

Ukiugua panda ndege utapona fasta
 
Ukiona hauna bima na ukapelekwahospali ya serikali na hauna pesa ujue unakufa bila huduma, dawa hakuna,

Navilevile hata ukienda duka ladawa, basi dawa zote zimepanda bei sana
" Tutamwaga dawa kama njugu " baadaye kidogo , " Wananchi ni lazima mjiunge na bima ya afya ili mufaidike na huduma bora " Hakika ccm ni chama cha kitapeli mno !
 
ukweli ni kwamba dawa zipo lakini mpaka kumfikia mngojwa hapo ndo kuna kona kona kibao, watanzania tunaibiana wenyewe kwa wenyewe
mgonjwa anatumia bima kaandikiwa dawa hospitali wanamwambia dawa hamna na kikweli dawa wanakua wanayo mwisho wa siku wanakuandikia fomu ukachukue kwenye famasi binafsi
hawataki kutoa dawa za hospitali wanasema dawa hakuna ili uende kwenye mafamasi yao ukanunue zao,, lakin hopstali dawa zipo nyingi tu!
 
Kuna baadhi ya hospital wanajitahidi sana, mfano Mbeya hospital ya META ambayo ni special kwa akina mama wajawazito na watoto wa changa huduma zao zipo vzr kwa kiasi kikubwa. Uangalizi mkubwa sana kwa watoto na wahudumu wamebanwa sana
 
bili ya dawa ni kubwa sana. serikali haiwezi kuafford
 
Ukiona hauna bima na ukapelekwahospali ya serikali na hauna pesa ujue unakufa bila huduma, dawa hakuna,

Navilevile hata ukienda duka ladawa, basi dawa zote zimepanda bei sana


Aliyemuagiza Makonda RC wa Dar jana kuhusu usafi, je yeye amejiagiza kuhusu kutafuta dawa?
 
ukweli ni kwamba dawa zipo lakini mpaka kumfikia mngojwa hapo ndo kuna kona kona kibao, watanzania tunaibiana wenyewe kwa wenyewe
mgonjwa anatumia bima kaandikiwa dawa hospitali wanamwambia dawa hamna na kikweli dawa wanakua wanayo mwisho wa siku wanakuandikia fomu ukachukue kwenye famasi binafsi
hawataki kutoa dawa za hospitali wanasema dawa hakuna ili uende kwenye mafamasi yao ukanunue zao,, lakin hopstali dawa zipo nyingi tu!
Hapana mkuu kwa sasa dawa nyingi hata kwa mapharmacy zimekua za shida mfano dawa mseto nyingi kwa sasa zipo ma Hosp tu phamarcy zimekua adimu mno....nadhan kuna upungufu wa dawa pote ..
 
Ukiona hauna bima na ukapelekwahospali ya serikali na hauna pesa ujue unakufa bila huduma, dawa hakuna,

Navilevile hata ukienda duka ladawa, basi dawa zote zimepanda bei sana
Tunanunua ndege kwanza,tunajenga reli afya zenu hazina umuhimu kwasasa
 
Back
Top Bottom