Restarting
Member
- Jan 28, 2020
- 80
- 106
Jamani hizi ndege kwanini zinapita juu sana kutoka usawa wa ardhi, na kwanini huwa zinatoa moshi mwingi ukilinganisha na hizi tulizo zizoea kuziona hapa kwetu. Naomba kujulishwa wajuzi wa haya mambo?
Mkuu, jibu swali kwanza, ishu ya alipo Iweke kando.Uko wapi kwanza mkuu
Ule sio moshiJamani hizi ndege kwanini zinapita juu sana kutoka usawa wa ardhi, na kwanini huwa zinatoa moshi mwingi ukilinganisha na hizi tulizo zizoea kuziona hapa kwetu. Naomba kujulishwa wajuzi wa haya mambo ?View attachment 1802828
Mkuu nisamehe tu maana nimewaza mbali sana, na ugumu wa maisha huu ulivyo mtu unapata wapi wazo la kuangalia juu☹️☹️☹️🤣🤣🤣Mkuu, jibu swali kwanza, ishu ya alipo Iweke kando.
Nahisi ni roketi...ila nitasahihishwa.
Pia moshi wake ni kwa sabbu ya kuwepo kwa mgandamizo wa hewa,kule juu kuna baridi ya laana...sasa hizo roketi engine zake zinakuwa so high temperature ndo maana unaona mimoshi ile
Kama nimekosea naomba marekebisho.
Hivi Rocket sindio hizihizi anazorusha ELON MUSK kilasiku kama FALCON X maana neno Rocket nimeanza lisikia toka mdogo ila ukubwani nayaona ma Falcon XWanaosema ni roketi nina uhakika tangu wazaliwe hawajawahi kuona roketi sehemu yoyote ile angani labda kama waliwahi kuishi nje ya Afrika.
Range ya kufyatua roketi ziko maeneo machache duniani kama Baikonur Cosmodrome ya nchini Kazakhstan inayomilikiwa na Russia kwa kukodisha. Nyingine maarufu ni Cape Canaveral ya Marekani.
Roketi inaruka kwa kupanda juu hivo hapa Afrika hakuna sehemu yoyote utaiona. Hizo ni ndege zimeenda masafa ya kawaida kwake ila kutokana na hewa ya juu kuwa ya baridi sana, engine zikichochea zinatoa hewa ya joto kali nyuma na kuacha alama inayoonekana kutokana na miale ya bbjua. Usiku hutoona hizo alama
Tourism and Heritage kwani munasoma hiyo CourseHahahaa nakumbuka kwenye somo moja hvi chuoni tulijifunza...Haaa "ROCKET PROPULSION"
Mbaya zaidi elimu zetu hatuzifanyii kazi yaan nakumbuka najipinda na uzi kupima barabara Cha kushangaa Leo hii tenda wanapewa wachina mie Sina hamu kabisa☹️☹️☹️Hahahaa nakumbuka kwenye somo moja hvi chuoni tulijifunza...Haaa "ROCKET PROPULSION"
Hahahahaa mitaal ibadilishwe...hahaa.maisha hayaMbaya zaidi elimu zetu hatuzifanyii kazi yaan nakumbuka najipinda na uzi kupima barabara Cha kushangaa Leo hii tenda wanapewa wachina mie Sina hamu kabisa☹️☹️☹️