Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Hizi ni tuhuma nzito sana..Mtoto wa mkuu wa nchi kuhusishwa na genge la utekaji! Tena anayetoa tuhuma hizi alishawahi kuwa mtu wa ndani kabisa Ikulu.
Au ndio kusema kisu kimegusa mfupa na maumivu yanaingia kimyakimya?
Sativa ametajwa kuwajua wataekaji.
Mtoa tuhuma anadai yupo Cuba amekosa nauli ya kurudi kwao.
Au ndio kusema kisu kimegusa mfupa na maumivu yanaingia kimyakimya?
Sativa ametajwa kuwajua wataekaji.
Mtoa tuhuma anadai yupo Cuba amekosa nauli ya kurudi kwao.