Kenya wanatumia nguzo za Zege na zinadumu kwa miaka mingi. Hivi ni kwanini Tanzania tunaendekeza kutumia nguzo za miti tu badala ya kuchanganya ili kuhamasisha viwanda vya nguzo za zege pia?
Mfano Pwani kuna viwanda viwili vya nguzo za zenge lakini wizara ya Nishati na TANESCO na REA hawanunui hizo nguzo wakati wanajua ukizitumia utakaa mda mrefu bila kureplace nguzo za umeme.
Kutokana na hili, ndio nauliza; Je, serikali na watendaji wake kweli wana akili?
Mfano Pwani kuna viwanda viwili vya nguzo za zenge lakini wizara ya Nishati na TANESCO na REA hawanunui hizo nguzo wakati wanajua ukizitumia utakaa mda mrefu bila kureplace nguzo za umeme.
Kutokana na hili, ndio nauliza; Je, serikali na watendaji wake kweli wana akili?


