Kwanini hatukufuata Dini za mababu zetu tukafuata za waarabu na wazungu?

Usikwepe swali mm sijamuuliza MUNGU nimekuuliza wewe, pia hata mm na wenzangu hayupo asieamini au shaka kwa UWEPO WAKE MUNGU mwenyezi na ndio maana hata kabla ya hizo dini zenu walitukuta tayari tunamtabua na tuna muabudu kitakatifu kabisa hilo halikuletwa na wao,, tatizo ni pale mnapompakazia MUNGU wetu kuwa ni miungu ooh mizimu au shetani kisa tu tuhamishe IMANI , tukiomba mthibitishe mnakuja juu

Kwa taarifa mm ninayo shuhuda Nyingi sana za uwepo wa MUNGU na matendo yake kwangu direct SIO kwa kupitia hizo dini zenu
MIMI SINA DINI NINA UWOKOVU NDANI YA YESU KRISTO. NA AMBACHO NAKUAMBIA NI KWAMBA MUNGU KATIKA YESU KRISTO NDIYE ANAPASWA KUABUDIWA NA SIO VINGINEVYO. UAMUZI NI WAKO TU
 
Mimi ni mpenzi wa filamu za History ukiangalia hawa wenzetu walikua ni miungu mingi sana mpaka nashikwa na wasiwasi hizi dini wametuletea isikute ni moja ya miungu yao wametuletea sisi tukaachana na kile tulichokua tunakiabudu
Ndo maana yake
 
Dini za mababu zilikua ovyo ovyo sana, hazikua namaana zaidi yakudidimiza watu kuumiza nakuleta majonzi ktk jamiii.

Niwashukuru wazungu nawaarabu ambao Mungu aliwatumia kwa kua wao waliwah kumjua ili nasisi tumjue .

Wee dini gan mkizaliwa mapacha nimkosi au albino? Dini gan mnasherekea mizimu ili mvua inyeshe ,naikinyesha watu waapiga yowe kumbe niwakat wamvua kunyesha.


Nawashukuru Wazungu, warabu ... Afrika haiwi masikin sababu ya dini. Mbona wachina sio wakristo,wahindi wakorea uko wanaaBudu Shiva , , hapa suala sio dini litupalo umasikin. Nikwasababu tu hatujui kwendana na wakati nakujua kila nyakati zinahitaji tufanye nn.

N.B ..nmeongelea umasikin km sehem moja wapo ya mfano.
 
Dini za mababu zilikua ovyo ovyo sana, hazikua namaana zaidi yakudidimiza watu kuumiza nakuleta majonzi ktk jamiii.

Niwashukuru wazungu nawaarabu ambao Mungu aliwatumia kwa kua wao waliwah kumjua ili nasisi tumjue .

Wee dini gan mkizaliwa mapacha nimkosi au albino? Dini gan mnasherekea mizimu ili mvua inyeshe ,naikinyesha watu waapiga yowe kumbe niwakat wamvua kunyesha.


Nawashukuru Wazungu, warabu ... Afrika haiwi masikin sababu ya dini. Mbona wachina sio wakristo,wahindi wakorea uko wanaaBudu Shiva , , hapa suala sio dini litupalo umasikin. Nikwasababu tu hatujui kwendana na wakati nakujua kila nyakati zinahitaji tufanye nn.

N.B ..nmeongelea umasikin km sehem moja wapo ya mfano.

Kwani za hao wazungu na waarabu na wengine huko miaka ya B.C ilikuwaje??

Who knows utafika wakati yesu/ mtume wetu waafrica atakuja. Yes yule anayefanana na sisi kwa sura, matendo , utamaduni na imani.

Wewe kuwa na subira tu. You real nabii/ mtume for Africans will come muda ukifika.
 
Dini za mababu zilikua ovyo ovyo sana, hazikua namaana zaidi yakudidimiza watu kuumiza nakuleta majonzi ktk jamiii.

Niwashukuru wazungu nawaarabu ambao Mungu aliwatumia kwa kua wao waliwah kumjua ili nasisi tumjue .

Wee dini gan mkizaliwa mapacha nimkosi au albino? Dini gan mnasherekea mizimu ili mvua inyeshe ,naikinyesha watu waapiga yowe kumbe niwakat wamvua kunyesha.


Nawashukuru Wazungu, warabu ... Afrika haiwi masikin sababu ya dini. Mbona wachina sio wakristo,wahindi wakorea uko wanaaBudu Shiva , , hapa suala sio dini litupalo umasikin. Nikwasababu tu hatujui kwendana na wakati nakujua kila nyakati zinahitaji tufanye nn.

N.B ..nmeongelea umasikin km sehem moja wapo ya mfano.
Tofautisha tamaduni za kabila na IMANI yao, hata hao waarabu walikuwa au wanatamaduni za kipuuuzi sana , mfano mfalme kupewa kijana wa kiume kwa ajili ya ngono hiyo ni jadi yao au kufuga majii na mashetani n.k

Usipotoshwe na propaganda za waarabu na wazungu kwani lengo lao ilikuwa UTUPE ALMASI WAKUPE GROLI
 
Tofautisha tamaduni za kabila na IMANI yao, hata hao waarabu walikuwa au wanatamaduni za kipuuuzi sana , mfano mfalme kupewa kijana wa kiume kwa ajili ya ngono hiyo ni jadi yao au kufuga majii na mashetani n.k

Usipotoshwe na propaganda za waarabu na wazungu kwani lengo lao ilikuwa UTUPE ALMASI WAKUPE GROLI
Duuuhh wenda mkuu ... Ila mim nawashukuru sababu wamenifanya nijue yupo Mungu wa mbinguni ,mmoja tu yeye aliyenanguv kuliko kitu chochote.
 
Hatuwezi tafuta dini zilizokua zinaabudiwa na mababu zetu tuzienzi tukaachana na hizi dini na tamaduni za hawa watu wazungu na waarabu
Zile ambazo walikuwa wakienda chini ya miti au kwenye mawe makubwa na kuomba,utasikia tukio hilo.
Tukishindwa kabisa, tuwe Majah people tu na philosophy yao ya peace and love
 
Duuuhh wenda mkuu ... Ila mim nawashukuru sababu wamenifanya nijue yupo Mungu wa mbinguni ,mmoja tu yeye aliyenanguv kuliko kitu chochote.
Unajuaje kama huyo Mungu wa mbinguni unayemwabudu ni halisi? Hudhani kuwa hizi ni hypothesis za watu weupe kutufanya tuzidi kuwaabudu.

Binafsi nina wasiwasi sana na imani tulizoletewa na watu weupe.
 
umeuliza swali zuri sana? wakikujibu nitag
Mbon jibu ni rahisi sana, Tunajua wazi kuwa DINI zote kwa maana ya Kristu na Islam zimetokea mashariki ya kati lakini kwetu sisi waliozileta au kuzifikisha hapa ni Wazungu(Kristu) na hao Waarabu(Islam) ndio tunaowajua.

Lakini pia hilo halipotezi lengo la mwanzilishi wa uzi huu..
 
Mbon jibu ni rahisi sana, Tunajua wazi kuwa DINI zote kwa maana ya Kristu na Islam zimetokea mashariki ya kati lakini kwetu sisi waliozileta au kuzifikisha hapa ni Wazungu(Kristu) na hao Waarabu(Islam) ndio tunaowajua.

Lakini pia hilo halipotezi lengo la mwanzilishi wa uzi huu..
Sawa Ila Wazungu Dini Walipelekewa Kama Tulivyoletewa Sisi
 
Mababu zetu walikuwa na imani ambazo hazikuwa organized wala kuandikwa, zilikuwa zikirithiwa na vizazi kwa njia ya masimulizi, yaani kila kabila au ukoo ulikuwa na namna tofauti ya kuabudu mungu wao

Wazungu ama waarabu kipindi wanakuja na kukuta kila kabila na dini yake, wao walikuwa wamesha unify imani zao ndogondogo zote na kuwa imani moja

So kitu ambacho hakipo organized na wala hakuna njia bora za kukitunza (kama maandishi) hakiwezi kurithiwa na ndio maana zimekufa leo
Kwahiyo kila kitu kilichokuwepo kabla ya kuja wazungu na waarabu hakifai kwakuwa hakikua katika maandishi?
 
Mababu zetu walikuwa na imani ambazo hazikuwa organized wala kuandikwa, zilikuwa zikirithiwa na vizazi kwa njia ya masimulizi, yaani kila kabila au ukoo ulikuwa na namna tofauti ya kuabudu mungu wao

Wazungu ama waarabu kipindi wanakuja na kukuta kila kabila na dini yake, wao walikuwa wamesha unify imani zao ndogondogo zote na kuwa imani moja

So kitu ambacho hakipo organized na wala hakuna njia bora za kukitunza (kama maandishi) hakiwezi kurithiwa na ndio maana zimekufa leo
Kweli zimekufa katika baadhi ya maeneo, lakini hazikufa kiasili bali ziliuliwa kwa nguvu na mifumo ya kuabudu ya wageni.

Lakini kwa maendeleo yasayansi na teknolojia na kuibuka vizazi vya wenye kuhoji hata dini za wageni zimeanza kukosa mashiko na karibuni nazo zitaonja mauti kupitia (natural death) kifo cha asili.
 
Back
Top Bottom