Jamboni wote wana JF. Nimekuwa nikiwaza sana bila kupata majawabu ndipo nimeona niombe kwenu msaada. Ni kwamba maishani mwangu sijawahi kuona mwanamke yeyote yule aliye na upara kichwani. Hii inamaanisha kwamba vipara ni kwa ajili ya wanaume tu? Siku za nyuma niliamini kuwa ndevu ni kwa wanaume tu lakini hivi sasa tunashuhudia wamama wengi tu wakiwa nazo!!!!
Jamboni wote wana JF. Nimekuwa nikiwaza sana bila kupata majawabu ndipo nimeona niombe kwenu msaada. Ni kwamba maishani mwangu sijawahi kuona mwanamke yeyote yule aliye na upara kichwani. Hii inamaanisha kwamba vipara ni kwa ajili ya wanaume tu? Siku za nyuma niliamini kuwa ndevu ni kwa wanaume tu lakini hivi sasa tunashuhudia wamama wengi tu wakiwa nazo!!!!
Ipo kemikali/hp.homoni ambayo huwa inaathiriwa kufikiri sana,au mawazo ya kupindukia,angalia wasomi km dr maprofesssar nk wana vipara,vipo vingine vy a umaskini! Hiv nivya kurithi!