Ungetaja aina ya simu unayotumia ungeeleweka vizuri.Wakuu kila mara nikitaka ku google kitu website ya google inakua haipatikani wakati nakua na bundle na website zingine zinafunguka fresh tu
Naibahatisha kwa nadra sana
Natumia ttcl. Halotel na voda na zote napata hii shida
Hats mini muda huu napata shida na chrome ni nini !? Ama tcra maana sites nyi fine zinfunguka kama kawahata mimi ni hivyohivyo,wataalamu vipi hakuna setting zozote kwenye chrome ambazo zitafanya website kufunguka kiurahisi badala ya vpn!
Sent from my TECNO K7 using Gazeti